ElNa wewe acha kuwa mjinga yani unampongeza mtu alichagua naibu waziri asiye jua kusoma?
Na wewe acha kuwa mjinga yani unampongeza mtu alichagua naibu waziri asiye jua kusoma?
[emoji23]Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
Kimeota nyasi tayari. Na atachunguzwaHii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
PCCB Waanze Nao Hao[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo mteuzi na mteuliwa wote hawafai !!
Naibu waziri wa madiniNi nani alieshindwa kuapa?
Inawezekana hakujiamini tu, angefanya rehearsal kama ana shida hiyo na labda angemwona mwanasaikolojia na kumwomba Mungu.
Huyu aliyemroga kampatiaNa uwaziri tayari ameukosa.
Ni tatizo la nchi, mwingine anaweza akawa na tatizo katika kusoma, na mwingine katika kuandika. Tena afadhali yeye alikuwa LIVE na hivyo makosa yalionekana immediately na hakupata fursa ya kuedit, wengine wanayo fursa ya kuandika na kuedit kabla ya kupost lakini bado wanatia "haibu"... kila mda "Anasema balaza la mpinduzi badala la mawaziri" katia haibu sana mpaka mawaziri wenzie wamemcheka..