Acha wivu Gold hunter utakufa maskini kwa kijiba cha roho. Sentensi yako ya kusema kuwa mtu tajiri amepata kiujanja ujanja ndiyo inawarudisha nyuma watanzania wengi.Hii nchi watu hawaelewi tu, hakuna watu hawapendi kulipa Kodi kama matajiri, ukishaona mtu ana bilion kadhaa bank asimilia 90 ya hao watu ni janja janja nyingi tu na kuibia serikali mapato...
Juzi jumamosi kuna sehemu niliitwa kuwafanyia Installation ya program fulan na hapo kuna kama kakiwanda tu! Ila nilipongia mule ofisin nikuta kuna Bureau De change, ni wahindi, wanafanya biashara hiyo mule ndani ila hakuna hata bango nje kuonyesha kuwa pale wanabadilisha pesa za kigen! Nafikiri hii ndiyo Tanzania wanayoitaka watanzania ili wakishapiga mrungura wao waende Dubai kushangaa magorofa na ma high way za Dubai.Hii biashara kuwa mikononi mwa watu binafsi kunaathiri kwa namna yoyote thamani ya pesa yetu na akiba yetu ya pesa za kigeni?
Gaidi kuwa mbunge ni dalili kuwa tume ni huru? Kwenye soka kuna mfumo wa VAR, huo mfumo ni wa nini iwapo bingwa alikuwa bado anapatikana? Punguza utoto dogo.
Wewe ni mpuuzi basi, kwan io nikiwa na msimamo wa kumpenda mtu kutokana na kazi zake siku akikosea niendelee kushabikia tuMnafiki wewe,mwanaume lazima uwe na msimamo mmoja
Mkapa aliacha dola ikiwa chini sana alipoingia JK na upole wake dola ikafika 2400, sasa Mama kaikuta 2300 utashangaa ikafika 5000 kabla hata ya 2025. Na majibu yake yatakuwa haya haya ya kitoto kusema ukraine, covid, maisha yamebadilika etc
Hakuna watu wakwepa Kodi Kama Hawa matajiri, na ndo maana nikaweka 90 percent naamini Kuna waaminifu piaAcha wivu Gold hunter utakufa maskini kwa kijiba cha roho. Sentensi yako ya kusema kuwa mtu tajiri amepata kiujanja ujanja ndiyo inawarudisha nyuma watanzania wengi.
Kwa ni ujanja ujanja ni sawa na ujinga? Naamini hakuna mjanja mjinga, ujanja ni akili.
Na ndio nyie mkisikia mtu ni tajiri akili zako zikakutuma huyo ni mwizi..Kuna mtu niliwahi kukaa nae Arusha alikua na bureau, alinipa mkasa mzima
Aisee Hio siku walipofungua bureau zilikuja defender na 'vyuma' yaani walichukua pesa zote hata coin haikubaki, na katika askari waliotelekeza amri hii na kupeleka pesa bot wengi walitajirika maana kama unavyotujua wabongo huwezi kunipa maburungutu ya pesa ambayo hayana hesabu nikayafikisha yote
Ila Hawa watu nao walikua wanaibia taifa sana pesa na wengi walikua wanatakatisha sana pesa chafu, kiufupi walijisahau sana jiwe akaamua kuwapiga ambush kiroho mbaya,
Hii nchi watu hawaelewi tu, hakuna watu hawapendi kulipa Kodi kama matajiri, ukishaona mtu ana bilion kadhaa bank asimilia 90 ya hao watu ni janja janja nyingi tu na kuibia serikali mapato
Swala la kuwanyoosha Hawa matajiri waiba Kodi sijawahi kumpinga magufuli japokua nilikua simkubali, ila la kudeal na Hawa wezi wa Kodi hapo Mzee nilimkubali
Yale maridhiano ya serikali na vyama vya siasa yameendelea kuleta neema kwa watanzania, heko CHADEMA na Samia.Waziri Nape Nnauye akiwa katika kongamano la miaka 2 ya Rais Samia, amesema Rais amewafuta machozi watu wengi walioonewa na utawala uliopita.
Kama vile wale wafanyabishara wa fedha za kigeni ambao maduka yao yalivamiwa ghafla na wanajeshi wenye mitutu na kuchota fedha zote kisha kufunga maduka hayo.
Rais Samia amewafidia na kuruhusu maduka yao kufunguliwa tena.
View attachment 2558822
===
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Je alikuwa sahihi?Kasi ya kumkomoa Hayati si ya kitoto
Inaonyesha huna uwezo wa kuelewa mambo kwa mantiki, ndio maana unaishia kuongea upuuzi. Lengo la VAR ni kupunguza malalamiko yaliyokuwepo na kuhakikisha ushindi unapatikana kihalali inavyowezekana. Huo mfano nimetoa ili kuendana na hoja yangu ya tume huru ya uchaguzi. Sasa sijui ni utoto gani unaniambia, mara sijui asali na upuuzi kama huo. Subiri watoto wenzio wa VETA mjadili.Nani kakwambia VAR ni kuzuia timu kuwa bingwa. Hivi unaufahamu mfumo wa VAR au unajiropokea tu. Mimi ni shabiki wa mpira lia lia old Trafford na kule santiago VAR haina kazi ya kumzuia mtu/timu kuwa bingwa,haiingii uwanjani kusakata soka. Punguza kulamba asali shostie
Kifo ni hakikaHuu ndio ubinadamu, Mungu amlinde daima Mama yetu mzazi wetu, Rais wetu, Samia Suluhu Hassan..!! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
We kweli zumbukuku. Sasa kama uliona Magu anadanganya buyu wa sasa unamuaminije wakati huyu anakupa data za jumla jumla.?Nyie mlidanganywa sana na yule jamaa.
Mfano Makusanyo ya TRA kipindi cha Magufuli yalikuwa trilioni 1.2, kipindi cha Samia ni trilioni 2.
Kukusanya kodi huhitaji kufanya uporaji wa kishamba kama ule
HapanaHivi kweli kulikuwa na proper documentation ya fedha zilizochukuliwa , vifaa, docs etc etc
Kenya kuna anguko kubwa sana la kiuchumi ndugu, wanapitia transition period so muache ujinga kulinganisha pesa yetu na nchi maskini mwenzetuDola sasa hivi ni Sh ngapi? Ni 2300 hiyo hiyo,
Shilingi ya Tanzania imeimarika zaidi dhidi ya fedha nyingine za nchi jirani Tangia Magufuli afariki
Mfano hii ni Shilingi ya Kenya iliyokua sh 22 dhidi ya Tz na sasa ni Sh 17
View attachment 2558898
Halafu Mkapa unamfananisha vipi na Magufuli? Mkapa alifanya privatization na kufungua nchi kwa wawekezaji na uchumi ukakua, Magufuli alikuwa anafanya kinyume, kuua mashirika binafsi na kufukuza wawekezaji
Hakuna sehemu wamesema zinarudishwa, ni kwamba wameruhusiwa fungua tenaHicho na nachowaza, fedha ziliporwa Wala sio kwamba walizihesabi wakakabidhiana
Sasa zinarudishwa sijui kwa mfumo upi, hapo lazima Kuna watu wanafaidika
Inaonyesha huna uwezo wa kuelewa mambo kwa mantiki, ndio maana unaishia kuongea upuuzi. Lengo la VAR ni kupunguza malalamiko yaliyokuwepo na kuhakikisha ushindi unapatikana kihalali inavyowezekana. Huo mfano nimetoa ili kuendana na hoja yangu ya tume huru ya uchaguzi. Sasa sijui ni utoto gani unaniambia, mara sijui asali na upuuzi kama huo. Subiri watoto wenzio wa VETA mjadili.
Ule ukanda ushadhibitiwa na kambi ishawekwa kubwa1. Thamani ya Tshs itashuka 2. Watu watatakatisha pesa zao kwa amani 3. Ugaidi utaibuka tena pale Kibiti.
We zumbukukuku Magufuli nimesema alikuwa anadanganya kwenye nini?We kweli zumbukuku. Sasa kama uliona Magu anadanganya buyu wa sasa unamuaminije wakati huyu anakupa data za jumla jumla.?
Then hayo makusanyo amekusanya kwenye nini wakati saa hizi hata ukienda kariakoo mfanyabiashara anakuambia nakupa risiti ya kusafirishia. Unamuambia nitadakwa anakuambia ah siku sio kama zamani usihofu.
Nakumbuka enzi ya Magu mfanyabiashara anakupa risiti hata kama unaondoka.
Vituo vya mafuta vyenyewe mashine zilishajifia.
Pump ya mafuta bandarini ilishajifia.
Nchi ipo ipo tu.