Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Kenya kuna anguko kubwa sana la kiuchumi ndugu, wanapitia transition period so muache ujinga kulinganisha pesa yetu na nchi maskini mwenzetu


Unaacha kulinganisha pesa yetu na global dominance currency kama dollar, Yuen, euro unaleta comparison na wakenya ambao kwa mwaka tunafanya biashara ambayo haifiki hata bilioni 600 za kitanzania
Magufuli aliipandisha Shilingi dhidi ya Dola? Unajua aliikuta Dola ni ngapi na aliiacha ngapi?
 
VAR imepunguza nini mbona bado malalamiko yapo. Punguza ujuaji kwenye mambo usiyoyaelewa. Hio tume huru ni ipi hasa,maana ruzuku mlizikataa kisa hamkuukubali ushindi uliotokea wala wabunge walipatikana ila ghafla mmebadili gia na kuichukua kinyemela. Mnachotqkq nyie ni tume itakayowapendelea,katiba itakayowapa madaraka mkononi. Mlamba asali umepanic

Malalamiko dhidi ya VAR ni katika kuboresha, lakini kwa kiwango kikubwa yameboresha uhalali wa matokeo.

Nashindwa kuelewa hoja yako ndio maana nakuambia subiri watoto wenzio wa VETA mjadili. Maana mara ruzuku, sijui mlizikataa, mnataka upendeleo. Jitahidi unapojenga hoja yako usichanganye mambo mengi kwa wakati mmoja ili hoja yako ifahamike. Mijadala ya hivi ni ya watoto wa vijiweni.
 
Cha kushangaza sio hao watu kufutwa machozi bali ni ule ukweli kwamba huyu rais wa sasa alikuwa ni sehemu ya huo uovu na wala hakupinga wakati huo sasa leo anayafanya haya kama njia ya kujitafutia umaarufu wa kisiasa baada ya kushindwa kupambana na uchumi unaozidi kuporomoka kila uchao. Bure kabisa.
 
Cha kushangaza sio hao watu kufutwa machozi bali ni ule ukweli kwamba huyu rais wa sasa alikuwa ni sehemu ya huo uovu na wala hakupinga wakati huo sasa leo anayafanya haya kama njia ya kujitafutia umaarufu wa kisiasa baada ya kushindwa kupambana na uchumi unaozidi kuporomoka kila uchao. Bure kabisa.
Angemfanyaje? Rais ndie tha last word!! Kulingana na katiba
 
Sipati picha lile nduli lingekuwa hai hadi Leo, nchi hii ingekuwaje? Asante Mungu kwa kusikia kilio cha watu wako
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".

Kama chadema wangelikuwa na watu wenye Akili kidogo,huu ndo ulikuwa muda wao wa kuingia ikilu na kuandika Historia....Yaani mistake wanazozifanya Ccm kwa kipindi hiki ilikuwa ni njia Tosha sana ya Chadema kufunga magori Mengi dhidi ya Ccm.
 
Back
Top Bottom