Pre GE2025 Nchi imerudi mfumo wa Chama kimoja, Magufuli kaacha utamaduni mbaya kwenye siasa, itachukua miaka 20 kumpata kiongozi kama Kikwete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watanzania tunatakiwa tuachane na upumbavu wa ku dodge majukumu yetu tukitegemea watu watafanya kwa ajili yetu.

That is something that will completely never happen. Kutegemea wanasiasa wata work on our favours bila kuwashurutisha ama hata kuwafurusha its next to impossible.

Njia ya amani imeshashindikana basi tutumie njia mbadala. Hata mtoto huanza kwa kukanywa kwa maneno asipoelewa next move huwa ni kutumia nguvu ya mikwaju. What seems to be happening in Tanzania ni kuona mtoto hasikilizi maonyo then tunaishia kulalamika na tumestack katika hilo tukitegemea mtoto atabadilika awe kama mzazi anavyotaka badala ya ku enforce nguvu.
 
Kupitia uongozi wake ndio hili suala la connection lilichipukia sana ukiwa na connection tu kazi uhakika hata kama hauna sifa ndio maana kukawa na issue ya vyeti feki na wafanyakazi hewa.

Kupitia kipindi chake ufisadi ulikuwa mkubwa watu walipiga sana pesa mfano Escow, Meremeta, maliasili kusafirishwa kupelekwa nje kama twiga n.k ilikuwa haipiti wiki bila kusikia ufisadi mpya na watu wanapeta na hata zile kauli unajua mimi nani zilikuwa nyingi mno.

Miradi hewa na Miradi inayotakiwa imalizike kwa wakati ilikuwa inachukuwa muda mrefu ni kwasababu Jk hakuwa mfuatiliaji na msimamizi mzuri wa resources.

Ukosefu wa haki ilikuwa ni ngumu maskini kushinda kesi against alienacho kwasababu system nzima ilikuwa corrupted.

Migomo mingi ilitokea kipindi chake referred madaktari, waalimu, wanafunzi wa ngazi ya juu kukosa mikopo na wakati mwingine kutopata kwa wakati.

Mishahara ya wafanyakazi kucheleweshwa, uwajibikaji duni kwenye vitengo vya utoaji huduma kwa raia
 
Hayo Hayo nishayaeleza nilipojibu, hakuna jambo jipya bhapo kiongozi!!!

Hayo ni madogo sana ukilinganisha na mazuri yake.

Na hakumlinda yeyote, ndio maana uliona mawaziri wanajiudhuru, mpaka waziri mkuu, alikuwa na uwezo wa kuzuia au kukataa kujiuzuru.

Mambo uloleta kwangu ni 0.5 ya πŸ’― mazuri ya uongozi wake
 
Dhulma ita watafuna mmoja mmoja, ni muda tu
 
. Mtu aliyekuwa na maono kuliko marais wote ni Nyerere.
Hapana
Miaka 30 ya kuvaa viraka na masulupwete, hana maono yoyote
Alishindwa kung'amua kuwa uchumi ndio kila kitu, akaamua kufukuza watu wenye kuwekeza
Pia hakutaka kukosolewa, ushahidi ni Kambona, Fundikira, Kassanga Tumbo, Tuntemeke Sanga, Abdul Jumbe, Seif Shariff, hawa wote aliwafinya na kuwatesa
Yeye ndio chanzo cha matatizo yote ya hii nchi!
Maji yalifika shingoni, akatema bungo na kumuachia Mwinyi alete vyama vingi, huku akiwapanga mapandikizi kama Mabere Marando, Lyatonga, Mtikila na Lipumba kuhadaa wananchi kuwa ni wapinzani
 
I also miss JK, he is truly a democratic man...
 
Kikwete kakae naye kwenu. Hatutaki tena mtu kama yeye. Mama anatosha
 
Kiwete nae anakufa lini?
ili tumlinganishe na JPM vizuri

Hivi Kwani ndiye alisababisha aliepo kiwa makamu wa Rais wakati wa JPm ?
Pia wanasema Bogu lake na the late mamvi ndio likipelekea kuoenyezwa kwa JPM na Nkapa ,
Je kusemekana huku kuna ukweli ??
 
Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono. Kama huko kwenu mlivaa masulupwete na viraka basi mlaumu mzazi wako. Wengine tunajua kipindi hicho watu walikuwa wanasoma bure mpaka usafiri wa wanafunzi ulikuwa bure. Chakula pia. Hospital nazo zilikuwa ni bure. Tulikuwa na viwanda na mashirika ya umma mengi. Wizi wa wabongo msipende kumtwisha Nyerere.
 
Endelea kulelewa tu huko. Mashoga Magu aliwashughulikia kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie makaburini kwenu!
Unaona sasa kumbe wewe ni wale wapumbavu ambao kila wakizidiwa hoja wanatukana watu ni mashoga! Unafiki mtupu. Nchi imejaa mashoga kila sehemu na wewe inawezekana kabisa una mchezo wa kulawiti wanawake na bado unajifanya huna ubongo bali kinyesi!
 
Unastahili kuhurumiwa πŸ€”πŸ€”
 
Unaona sasa kumbe wewe ni wale wapumbavu ambao kila wakizidiwa hoja wanatukana watu ni mashoga! Unafiki mtupu. Nchi imejaa mashoga kila sehemu na wewe inawezekana kabisa una mchezo wa kulawiti wanawake na bado unajifanya huna ubongo bali kinyesi!
Naona umempa chuma, kala za USO πŸ˜€πŸ˜€
 
Wewe ni mjinga kabisa ,hujui unachoongea hujutambui kabisa
 
Wewe una shida eti alikuwa hawalindi mafisadi umeshasahau yeye mkwere si ndio alipinga hakukuwa na ufisadi kwenye ufisadi wa Escow.Nchi ikishakuwa corrupted tu hapo kuna kuwa hakuna maendeleo na ndio maana China wanasheria kali za wanaokula rushwa na ndio maana nchi yao imepiga hatua so huwezi ukasema hii ni kitu kidogo wakati inaamua hatima ya nchi achia tu mbali hii, kipindi chake mgao wa umeme ulikuwa mkubwa sambamba na shida ya maji kwa kweli huna credibility yoyote ya kumtetea mkwere
 
Waache CCM waendelee hivihivi...dalili zinaonyeaha wananchi wameanza kukataa kuwekewa viongozi wasiowachagua....hizi mbinu chafu zinakaribia mwisho wake
 
Samia kaharibu na kajiharibia mno namuonea huruma.
 
Tutapigia CCM tu
Itakuja siku tutakuwa na cgaguzi huru kama Marekani na Kenya.
Watu watachukua fomu kwa uhuru bila bughuza na watapiga kampeni kwa uhusru na wapiga kura watapewa fursa ya kusikiliza sera na kuchagua viongozi kwa ustaarabu.
Sasa ivi Tz inakaliwa kimabavu ila yana mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…