Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Mwaka huu hamna pa kutokea ccm bado ni chaguo la wengi na tutashinda kwa kishindo kikubwa sana. Iyo mikwara yako haina nafasi.
 
Baada ya wagombea urais kuapishwa DEDs wanawajibika kwa NEC. Kitendo cha Magufuli kuwaita DEDs Dodoma yeye akiwa mgombea alivunja sheria za uchaguzi kwa kiwango cha kutishia amani.
Sawa kabisa
 
Mahera ni nani? Mtu yeyote ambaye anaishi kwa kulamba nyayo za wanasiasa badala ya kuegemea taaluma yake na maadili ya ofisi aliyokabidhiwa, anakuwa takataka mbele ya jamii.
Labda jamii ya wanachadema
 
Ukianzishe nyuma ya keyboard??? Uyo TL hana fikra finyu kama zako anajua madhara ya kutoitikia wito yalivyo sidhani kama atachukua ushauri wa ovyo kabisa kutoka kwako.
 
Source ya taarifa eti tbccm

Bora hata nisingesoma hii thread
 
 
Baada ya wagombea urais kuapishwa DEDs wanawajibika kwa NEC. Kitendo cha Magufuli kuwaita DEDs Dodoma yeye akiwa mgombea alivunja sheria za uchaguzi kwa kiwango cha kutishia amani.
Wewe hujui kitu wameitwa lini mbona imekanushwa hiyo na Katibu Mkuu wa Tamisemi? Sababu haupo TZ ndiyo maana unabwabwaja tu.
 
Kwani Tanzania tuna Tume ya uchaguzi au tuna tawi la ccm linaloitwa tume ya uchaguzi?

Katiba Mpya ndiyo mwarobaini wa haya madudu yote.
Na uchaguzi unafanyika chini ya iyo tume unayoiita tawi la ccm, Lissu amekubali kuingia kwenye uchaguzi chini ya tume halafu kajamba nani unakuja hapa kupiga porojo zako.
 
Sasa mbona unashiriki uchaguzi?
 
Hivi msemaji wa Chama anaongea kwa niaba ya nani?
Mimi tume hainijui na CCM Mimi sio mgombea akili ikifyatuka naweza poromoshea matusi ya nguoni CCM na tume ya ya uchaguzi na hawezi nifanya lolote sana sana CCM waweza nifukuza uanachama lakini tume haina meno kwangu wala kwa Pole Pole sababu sisi sio wagombea tuliopitishwa na tume na kupewa masharti
 
Mashujaa wa nyuma ya keyboard mtafanya nini Lissu akishindwa? Ipo wazi Lissu anaenda kushindwa kwa aibu kubwa sana
 
Ila jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Jiwe anavyolopokaga mdomo wake huwa na breki?mdomo wa magu ni mchafu unaongea hovyo lisu yeye anazungumza ya kweli
 
Haya ameyataka mwenyewe! Ngoja tusubiri tena wamemlea muda mrefu sana!
Hivi umeandika ukiwa na akili timamu kweli?anayofanya magufuli ni sahihi kabisa
 
Baada ya wagombea urais kuapishwa DEDs wanawajibika kwa NEC. Kitendo cha Magufuli kuwaita DEDs Dodoma yeye akiwa mgombea alivunja sheria za uchaguzi kwa kiwango cha kutishia amani.
Leta ushahidi wa wakurugenzi kuitwa dodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…