Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Na yale anayoyasema mgombea wao kuwa hatawapelekea maendeleo wananchi waliochagua mpinzani yako kwenye kanuni. Zile simu anazopiga na kuagiza bilioni 10 zipelekwe kujenga bara bara yapo kwenye kanuni, mgombea anawaambia wapigakura wakichagua mpinzani atakasirika sana ati wachague mgombea wa CCM kwakuwa hata asipotekeleza wajibu wake anao uwezo wa kumdhibiti huyo mbunge. Hivi kanuni zinaruhusu Rais kumdhibiti mbunge. Tume yetu itende haki
 
Kwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lisu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.

Kwa mfano Tundu Lisu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.

Tundu Lisu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee mmeshakalishwa ....TAIFA SASA LINAKWENDA NA LISU ...jiandaeni kufungasha
 
Meko hali ni tia maji tia maji. Ameamua kushirikisha tume aliyoiteua imnusuru. Hata hivyo kachelewa. Lissu hakamatiki mida hii.
Hahahaha hakamatikai na nini, mtu mwenyewe hatabkura za kutosha hana.
 
Nec wameamua waingie 18 za lissu natamani hayo mahojiano yawe live...
Inanikumbusha US senate na George Galloway (UK MP) kwa wakati ule juu ya scandal ya Aid for Oil ya Saddam wa Iraq. Walijutia kumuita!
 
Huyu Lisu na Chadema nzima kwanini wagombea wao hawajabandika posters? Kama kuna sehemu umeona poster ya Lisu ikimnadi naomba upost hapa.
Wamebandika hio hapo mkuu.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Haya ni baadhi ya matokeo ya vikao vya Dodoma na mgombea baada ya maji kufika shingoni
 
Ila jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
We nyani huon kundule lako...hvi kuna mtu mropokaji kama jiwe.tatizo mlizoea ropo ya jiwe na hatimaye mkampa ufalme ndio shidda
 
Very tricky. Rais kikatiba yupo na ni Magufuli. DEDs wapo na ni wateuliwa wa Rais. Ni rahisi hawa kusema walikuwa wakijadiri kazi.

Sijui ilikuwaje huu utaratibu wa DEDs kuratibu chaguzi.
Kwakweli katika katiba mpya tunataka muongozo. Bunge likishavunjwa nchi inapaswa kuongozwa na Jaji Mkuu mpaka baada ya uchaguzi.
 
Sasa watoa vitisho ukitumia jina la bandia ndo waona umetishia kwelikweli.
Kama unaogopa kutoa vitisho hata kwa jina bandia basi wewe ni HANITHI huna maana kwa jamii ya WATANZANIA bora mbegu ya baba yako ingeishia kwenye punyeto.

Nyie Richard mnadharau nguvu ya social media na still mnaingia JF na kusoma thread za wanaotumia majina bandia. Magufuli mwenyewe kama ana jiamini mbona analindwa na Kombania nzima na mitambo na helicopter?
Endeleeni kudharau social media halafu muupate muziki kama uliompata Omar Bashir wa Sudan mwaka jana ambaye FB na Twitter ndiyo ziliratibu maandamano ya kumtoa
 
Double standard kivipi? Hatujasikia wagombea wengine wakitaja majina ya wagombea wengine na kutoa taarifa za uongo kama vuvuzela Lissu!!
Wengine tunakuona wewe kama ndo vuvuzela
 
Back
Top Bottom