Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu haropoke ovyo ovyo huko afu wewe mfuasi wake uje kusema kuwa ccm hali mbaya. Hauko serious kabisa.Ukiona NEC wanamuita lissu ujue ccm hali mbaya
Safari mtajamba sanaIla jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Wengi na nani? Au wewe unasubiri taarifa za TBC na za Polepole?? CCM mtagawana mbao October 28Mwaka huu hamna pa kutokea ccm bado ni chaguo la wengi na tutashinda kwa kishindo kikubwa sana. Iyo mikwara yako haina nafasi.
Moto kwenye keyboard ni kawaida mbona? toka nje ukutane na rungu za afande Muroto wewe!
Acheni kulialia mfungeni breki mgombea wenu amezidi kuropokwa.Kama walikuwa hawataki ushindani na demokrasia si wangeokoa hela zinazopotea bure katika huu uchaguzi. Hawa ndio vibaraka anaowazungumzia polepole maana huu uchaguzi ni kiini macho kwa ajili ya kuwazuga mabeberu.
Huyo ni muongo. Gongo la mboto zimejaa posters za Jeri slaa na Magu.Mleta uzi anasema Gongolamboto zipo. Kama kuna mtu yupo Gongolamboto na ana access na poster ya chadema apost hapa nione.
Uwingi wetu utaonekana October 28 tutapomchagua Magufuli kwa kura nyingi sana.Wengi na nani? Au wewe unasubiri taarifa za TBC na za Polepole?? CCM mtagawana mbao October 28
Yaani uropokaji kati ya jpm na lissu ngoma drooAcheni kulialia mfungeni breki mgombea wenu amezidi kuropokwa.
Hivi kati ya LISSU na Magu nani mropokaji? Lissu anapiga hoja nzito kwenye mambo ambayo hamna majibu kama uwanja wa CHATO.Lissu haropoke ovyo ovyo huko afu wewe mfuasi wake uje kusema kuwa ccm hali mbaya. Hauko serious kabisa.
Pumbavu mbwa koko wewe,mtu awe anaongea uongao na kuzusha mambo kinyume cha sheria aachwe. Kisa ni mpinzani?
NEC mjipange vyema kwa hoja, mkikaa vibaya badala ya kumhoji itaonekana mnahojiwa nyinyi.
Do km.m hi ChrisMajibu ni marahisi tu, kuwa tume ya uchaguzi sio huru. Wagombea kibao wa upinzani wameenguliwa na tume ya uchaguzi kwa hila, na wagombea wa ccm wanavunja sheria wazi wazi bila kuchukuliwa hatua. Ni hivi, safari hii kuchezea kokote matokeo hakutakuwa na kumuachia Mungu fullstop.
,Parasatic Mind
Ni ngumu sana kujibu hoja za Tundu lissu,kwa ufupi jamaa ana akili
Wamuulize Ana Makinda akiwa spika au Samia Suluhi wakati wa Bunge la katiba
Ni dhahiri Tundu lissu hakukariri darasani bali alielewa na ana exposure kubwa
Suala ni kujibu hoja za Kiwanja chato,Pesa za kununua ndege nani anazikagua na zilijadiliwa bungeni?
Kwanini Profesa Assad aliachishwa uCAG
Story hizo za NEC wanasababisha Tundu lissu kuwa na wafuasi wengi zaidi
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi
Tatizo watu wana maisha magumu
Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha
Venezuela huko tatizo watu maisha magumu
NEC inajichimbia shimo zaidi
Ongezeni mishahara na wekeni uhuru wa habari watu watawapenda
Kama siyo huru mbona unashiriki uchaguzi na umesaini masharti ya kampeni?? Hivi nyinyi mnashida gani kwenye vichwa vyenu??!!
NEC mjipange vyema kwa hoja, mkikaa vibaya badala ya kumhoji itaonekana mnahojiwa nyinyi.
hata mbuyu ulianza kama mchichakelele za kwenye keyboard