Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Lissu kusanya ushahidi wa clip za maccm zote usisahau na hii ya polepole kukuita msukule nenda nazo kwenye kikao Cha maadili,
 
Kama unaogopa kutoa vitisho hata kwa jina bandia basi wewe ni HANITHI huna maana kwa jamii ya WATANZANIA bora mbegu ya baba yako ingeishia kwenye punyeto.

Nyie Richard mnadharau nguvu ya social media na still mnaingia JF na kusoma thread za wanaotumia majina bandia. Magufuli mwenyewe kama ana jiamini mbona analindwa na Kombania nzima na mitambo na helicopter?
Endeleeni kudharau social media halafu muupate muziki kama uliompata Omar Bashir wa Sudan mwaka jana ambaye FB na Twitter ndiyo ziliratibu maandamano ya kumtoa

Kwanza usitukane watu usowafahamu maana twaweza kuwa ni ndugu kabisa kabisa.
Halafu, hili la kutukana wazazi ingawa baba yako anaweza kuwa ana akili sana kuliko alivyokuwa baba yangu si jambo jema.

Ila nashukuru baba yangu alisoma kiasi na akaweza kuhakikisha mimi pia nakuwa mmoja wa "prominent persons".

Pili, mimi nmewahi kusema humu nina shemeji/wifi zako wanne.

Tatu, mimi ni mtaalam wa mambo mengi Social media ikiwa ndo eneo langu la kujidai pamoja na kukuruhusu wewe kutumia hiyo mitandao bila kukuathiri.

Hivyo ni jambo la busara kwako kutumia ligha ya kistaarabu kwani hufahamu kesho yako imekaaje.
 
Kwa hiyo mgombea wa ccm hajaitwa? Aisee
Alimtaja mgombea yeyote wa Uraisi na kumshambulia kwa kumtaja jina? Awe wa Chadema au chama chochote kama Lisu anavyofanya kinyume na maadili ya NEC?
 
Huyu Lisu na Chadema nzima kwanini wagombea wao hawajabandika posters? Kama kuna sehemu umeona poster ya Lisu ikimnadi naomba upost hapa.
FB_IMG_16012160963829352.jpg
 
Mwaka huu hamna pa kutokea ccm bado ni chaguo la wengi na tutashinda kwa kishindo kikubwa sana. Iyo mikwara yako haina nafasi.

Mtashinda kwa kuiba au kwa kura za wajinga. Mwenye akili hawezi kuwapigia nyie kura bora kupigia kura jiwe.
 
Hivi kati ya LUSSU na Magu nani mropokaji? Lissu anapiga hoja nzito kwenye mambo ambayo hamna majibu kama uwanja wa CHATO.

Magufuli aliyesema atampa mama yake amuoe yule mwanaume aliyempa jogoo kule Kilwa. Pima mwenyewe nani mropokaji hapo?
Sasa comrade wewe unadhani unajua sana kuliko Tume ya uchaguzi? Lissu kaitwa kwa sababu ya kutokwa na meneno ovyo yaani anaropoka. Tume inasimamia wagombea wote na kungekuwa na ulazima wa kumuita JPM wangefanya ivyo ila kwasasa Lissu ndio kaitwa tumuache akanyolewe kelele za nini?
 
Kwa hii kasi ya Lissu inahitaji kifua kuivumilia naona CCM wameanza kushika shati baada ya kuzidiwa mbio.

Ile kauli ya Bashiru kuwa tutatumia Vyombo vya dola kubaki madarakani naona wamenza kuifanyia kazi.

NEC mjipanga vyema kwa hoja, mkikaa vibaya badala ya kumhoji itaonekana mnahojiwa nyinyi..

Kwa hii hatua naona mmeamua kumpa headline kwenye Vyombo vya habari bila gharama.
Hawajasema lini wanamhoji Magufuli?, Naona hizo tuhuma za lisu hata Magufuli anazo, bila shaka watamwita au washamwita.?
 
usalama wake ulindwe huko kuanzia sumu za kibayolojia,
risasi nk.
N YY LISSU.
MAGU KWA HUJUMA ULIZOWAFANYIA WATANZANIA HUKU UKISHANGILIWA KWA AKILI YAKO MBOVU UKAHISI UNAPENDWA.
I HATE YOU.
 
Kama mnajua hizo ni siasa Lissu mnamuogopa nini, kwani ameongea jambo gani la uongo au linalotishia amani ya nchi

Hakuna anaemuogopa Tundu Lissu

Ndo maana anapaswa kuelewa hilo.

Tundu Lissu kapewa ukumbi nae anadi sera na si upotoshaji na kusema uongo.
 
Mashujaa wa nyuma ya keyboard mtafanya nini Lissu akishindwa? Ipo wazi Lissu anaenda kushindwa kwa aibu kubwa sana

Akishindwa TL tumeshindwa wanachi na nchi yote kwa ujumla. Hatuwezi kukubali kuendelea kuendeshwa kibabe kama kweli tuna akili timamu.
 
Mtashinda kwa kuiba au kwa kura za wajinga. Mwenye akili hawezi kuwapigia nyie kura bora kupigia kura jiwe.
Mtaji wetu sisi ni watanzania wenye sifa za kupiga kura, waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na wenye kadi ya mpiga kura kama ni hao ndio unawaita wajinga basi sawa sisi wajinga tutakipigia kura ya ndio chama cha mapinduzi kwa wingi sana.
 
Ukimpiga teke chura unamwongezea mwendo, kitendo Cha Mahera kumwira lissu Ni blessing in disguise,

Nadhani tume ndo inaenda kusomeshwa kanuni upya,

Pia lissu atatumia hii fursa kuwaambia ukweli wa madudu wanayofanya ili kumbeba jiwe, kabla hawajaletewa barua ya karipio rasimi kutoka kwa Robert amstredam
 
Akishindwa TL tumeshindwa wanachi na nchi yote kwa ujumla. Hatuwezi kukubali kuendelea kuendeshwa kibabe kama kweli tuna akili timamu.
Nchi haiwezi kushindwa kwasababu watanzania tumemkataa Lissu kwenye box la kura.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.View attachment 1582677
 
Alimtaja mgombea yeyote wa Uraisi na kumshambulia kwa kumtaja jina? Awe wa Chadema au chama chochote kama Lisu anavyofanya kinyume na maadili ya NEC?
Mwaka huu hatutawapa nafasi ya kupumua kudadeki zenu ! wanafiki nyie !
 
Back
Top Bottom