Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.

Chanzo: TBC Online
Magufuli amevunja kanuni nyingi za NEC

Hongera lissu kwa kufuata kanunni Ila nenda kawachane live waache upuuzi
 
Huyu Lisu na Chadema nzima kwanini wagombea wao hawajabandika posters? Kama kuna sehemu umeona poster ya Lisu ikimnadi naomba upost hapa.
TRA waliwawekea msururu wa masharti ya ajabu.
 
Kama walikuwa hawataki ushindani na demokrasia si wangeokoa hela zinazopotea bure katika huu uchaguzi. Hawa ndio vibaraka anaowazungumzia polepole maana huu uchaguzi ni kiini macho kwa ajili ya kuwazuga mabeberu.
 
Tundu Lissu ukifika NEC tafadhali sana waombe waandae mdahalo
 
Kwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lisu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.

Kwa mfano Tundu Lisu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.

Tundu Lisu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.

Maendeleo hayana vyama!

Kwa akili zako hujui polepole saizi yake wajumbe wa nyumba kumikumi?

Lisu the best amongst talented Tanzanians

Lisu Vs Magufuli mdahalo hapo sawa tutajuwa nani nibora zaidi

Who is polepole kwa msomi Lisu?
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.

Chanzo: TBC Online
NEC acheni kuchezea shilling chooni
Watu wanamaisha mabaya Sana
Tumepoteza kila kitu
Ogopa kushindana na watu kama Watanzania wa Sasa cos
We have nothing to loose
 
TRA waliwawekea msururu wa masharti ya ajabu.
Mleta uzi anasema Gongolamboto zipo. Kama kuna mtu yupo Gongolamboto na ana access na poster ya chadema apost hapa nione.
 
Un
NEC mnachekesha kweli
Mpigieni simu mumuulize kwani lazima aje
Lissu usiende mbona jiwe hajaitwa?
Kampeni zinaendelea

Mnataka aje mumfanye nin
Una akili sawa wewe?
Hujui NEC ndo bisi wake, au unadhani ni Amsterdam?
 
Usitishe watu bhana tunajua mmepanga nini ila hamtafanikiwa. Kama vipi mwambie asiende basi uone-ebo
Nakwambia mwaka huu siyo 2015 ambapo Lowassa alisema tumuachie Mungu. Hii ni 2020 tutalinda kura wenyewe na tuta deal na DED au Mkueugenzi wa uchaguzi kwa nafasi yake binafsi. Its now or never, tukiwaachia mwaka huu hamtatoka milele.
 
Back
Top Bottom