johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siasa ni sayansi Lisu anataka lift ya bure!Acha waendelee kumpiga chura teke, wanamrusha kwenye Vyombo vya habari wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa ni sayansi Lisu anataka lift ya bure!Acha waendelee kumpiga chura teke, wanamrusha kwenye Vyombo vya habari wenyewe.
Magufuli amevunja kanuni nyingi za NECTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
TRA waliwawekea msururu wa masharti ya ajabu.Huyu Lisu na Chadema nzima kwanini wagombea wao hawajabandika posters? Kama kuna sehemu umeona poster ya Lisu ikimnadi naomba upost hapa.
Ukiona NEC wanamuita lissu ujue ccm hali mbayaMwaka huu hamna pa kutokea ccm bado ni chaguo la wengi na tutashinda kwa kishindo kikubwa sana. Iyo mikwara yako haina nafasi.
Maeneo ninayopita nakuta posters za ccm, cuf, nccr kwa mbali na act kwa mbali. Bado sijaona poster ya chadema hata moja.Wakibandika zinaondolewa mkuu
Kwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lisu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.
Kwa mfano Tundu Lisu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.
Tundu Lisu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.
Maendeleo hayana vyama!
NEC acheni kuchezea shilling chooniTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Mleta uzi anasema Gongolamboto zipo. Kama kuna mtu yupo Gongolamboto na ana access na poster ya chadema apost hapa nione.TRA waliwawekea msururu wa masharti ya ajabu.
Una akili sawa wewe?NEC mnachekesha kweli
Mpigieni simu mumuulize kwani lazima aje
Lissu usiende mbona jiwe hajaitwa?
Kampeni zinaendelea
Mnataka aje mumfanye nin
Nakwambia mwaka huu siyo 2015 ambapo Lowassa alisema tumuachie Mungu. Hii ni 2020 tutalinda kura wenyewe na tuta deal na DED au Mkueugenzi wa uchaguzi kwa nafasi yake binafsi. Its now or never, tukiwaachia mwaka huu hamtatoka milele.Usitishe watu bhana tunajua mmepanga nini ila hamtafanikiwa. Kama vipi mwambie asiende basi uone-ebo
Kwani Lissu ndio NEC..? Waambie viongozi wako chochote mtakachomfanyia Lissu kwa sasa ni sawa na kumpigia kampeni za bure.Siasa ni sayansi Lisu anataka lift ya bure!
Hauko serious, yaani tundu lissu afananishwa na kile kibibi kitwacho tuliaY
Dr Tulia alikuwa anamzima bungeni kwa hoja mpaka tundu ana onyesha udhaifu wake wa matundu.