Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Hakuna taharuki kwa watanzania actually Luna relief halo ya maisha no mbaya sana majitu yanaongelea kuongeza ndege so sad
 
There's a misunderstanding about what NEC does. The notion of NEC independence - where the NEC are the guardians of national elections laws - doesn't mean that Commissioners aren't political.

Nor does the principle of the rule of Electoral law remove politics from the NEC decision process. The rule of law means that Electoral laws must have a basic core minimum of fairness to safeguard basic elections rights and due process protections.

Crucially, the rule of law requires that NEC not be subject to executive fiat, arbitrariness, discrimination and opacity.
NECCCM Tumeccm sasa unatumika vibaya kuminya demokrasia, ICC taasisi za haki za binadamu Duniani waitizame NECCCM kwa jicho la tatu
 
Uwingi wetu utaonekana October 28 tutapomchagua Magufuli kwa kura nyingi sana.

Wazee wa goli la mkono... hatutashangaa ingawa ukweli bado mtakua mmeujua kuwa mnalazimisha kushinda wakati wananchi wamewachoka. Meko ndie alikuwa mkombozi na sasa nae ameharibu kwa ajili ya ubabe wake, sasa sijui mtakimbilia wapi?
 
Nashauri tume wamzuie kupiga kampeni kwa siku 30 au wamuengue
Unaushauri hatari Sana mkuu, hivi hua mnafikilia kesho juu ya taifa hili au mnafikiliaga Leo tu,kwa Sasa tulipo fika tz Kwanza hakuna aliejuu ya nchi ya tz,
 
Hatufanyi mashindano wala ushabiki, tunaangalia maendeleo na tija kwa vizazi na vizazi. Fungua macho na fanya maamuzi sahihi yenye tija sio kwa tumbo lako tu bali jamii nzima.
Kwani ni lazima yafanane na yako? Mimi yangu ndio haya hapa.

JPM 2020-2025
CCM 5 TENAAA
 
TL asiende tukianzishe hapa hapa. Haina haja ya uchaguzi tena. Wamuite Magufuli kwanza - anadhalilisha akina mama, anafokea wapigakura eti hawapati maendeleo wakichagua wapinzani, sasa wanasema eti TL ana uraia wa nchi nchi nyingine! Waache ushenzi Watanzania tuamue kiongozi tunayetaka atuongoze.
Hii ndo yenyewe haswa
 
Wazee wa goli la mkono... hatutashangaa ingawa ukweli bado mtakua mmeujua kuwa mnalazimisha kushinda wakati wananchi wamewachoka. Meko ndie alikuwa mkombozi na sasa nae ameharibu kwa ajili ya ubabe wake, sasa sijui mtakimbilia wapi?
Comrade mbona mmekata tamaa mapema ivyo? Hakuna cha goli la mkono wala nini ni mapenzi na imani thabiti waliyonayo wananchi kwa chama cha mapinduzi
 
Wazee wa goli la mkono... hatutashangaa ingawa ukweli bado mtakua mmeujua kuwa mnalazimisha kushinda wakati wananchi wamewachoka. Meko ndie alikuwa mkombozi na sasa nae ameharibu kwa ajili ya ubabe wake, sasa sijui mtakimbilia wapi?
Walikuwepo akina Iddy Amin dada Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein mabubu leo hii wapo wapi?
 
Back
Top Bottom