Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Mods pls angalieni authenticity ya taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipo hapo, kila anaye mpinga ni mpigaji, anatumiwa n mabeberu, .............na wapinzani wana capitalize kwa ku reverse hayohayo. Awe anarudi au anaondoka Magufuli kwangu ni kiongozi mbovu tu,hawezi kubalance mambo yake. Mwanasiasa and asoweza kushawishi lazima awe mwanasiasa mbovu.Wanaolialia ni wale waliozoea vya dezo sasa JPM kaziba mirija mnakuja kulia hapa na bado tunamrudisha awanyoshe tena halafu kabla hajamaliza muhula wa pili tunaleta muswada wa kumuongezea muda mbona mtakimbia nchi.
Nchi haiwezi kushindwa kwasababu watanzania tumemkataa Lissu kwenye box la kura.
NECCCM Tumeccm ichunguzwe kwa nguvu na taasisi zote za haki za binadamu Duniani kwani imekuwa chombo Hatari cha kuharalisha Aman ya TanzaniaKama kweli tume ipo huru, wamwite Magufuli aje athibitishe Lissu anatumiwa na Mabeberu kama sio uzushi na upunguani
kabla mimi sijamtafuta muroto muulize uchunguzi wa jambo lile ulipoishia
Keyboard warrior...Jaribuni muone mziki tutaanzisha maandamano yasiyo na kikomo mpaka kieleweke
Wampige ban ya miezi 6.Mods pls angalieni authenticity ya taarifa
Kama ukiniambia Hilo ndio lililokuwepo dodoma nitakuelewaSio kumfungia aondolewe na chadema itangazwe kuwa chama cha kigaidi chenye kuleta vita
Wewe ndio unaleta porojo hapa kuwa ccm hali mbaya nakuhakikishia comrade tupo vizuri sana kuwasomesha namba.
Hivi wakisema wakianzishe unaweza kutoka na kuwa front au unaongea ukiwa umejificha kwenye keyboardTL asiende tukianzishe hapa hapa. Haina haja ya uchaguzi tena. Wamuite Magufuli kwanza - anadhalilisha akina mama, anafokea wapigakura eti hawapati maendeleo wakichagua wapinzani, sasa wanasema eti TL ana uraia wa nchi nchi nyingine! Waache ushenzi Watanzania tuamue kiongozi tunayetaka atuongoze.
Siri moja ya kiongozi mzuri ni kujua kuwa huwezi kumfurahisha kila mtu. Magufuli aliamua kwa dhati kuwa lazima nchi isonge mbele regardless ya watu watakaonuna kama wewe. Hatuna muda wa kupoteza kufurahisha watu ni tunapiga kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inasonga mbele.Shida ipo hapo, kila anaye mpinga ni mpigaji, anatumiwa n mabeberu, .............na wapinzani wana capitalize kwa ku reverse hayohayo. Awe anarudi au anaondoka Magufuli kwangu ni kiongozi mbovu tu,hawezi kubalance mambo yake. Mwanasiasa and asoweza kushawishi lazima awe mwanasiasa mbovu.
Km ina double standard kwann mnashiriki uchaguzi?Tume hii hii yenye double standards?
Wewe lipa 15% kwanza utawahi kumaliza deni pia wadogo zako wataweza kupata mikopo ili nao watimize ndoto zao. Acha kuwa na roho mbaya kama mchawi kuna wahitaji wengine pia wanahitaji mkopo lipa mkopo wako ili bodi iweze kuwapa mkopo wengine.
Kwa wenye akili wangefanya hivyo shauri lakini baadhi ya watumishi kwa kipenda sifa toka kwa No.1 wakifikiri wanamsaidia hawatasikilizaKwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lissu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.
Kwa mfano Tundu Lissu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.
Tundu Lissu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Kwaiyo ulitaka wakwepa kodi waendelee kuchekewa tu? Fastjet afuate sheria na taratibu atarudi kufanya biashara mbona precision ana operates vizuri tu.Ishindwe mara ngapi? mwendo kasi mmeshindwa kuuendeleza, mmeua fastjet leo hii waliokuwa wanapanda ndege wamerudi kupanda mabasi, ajira hakuna, marejesho ya mikopo mmeongeza asilimia. Hivi kweli mnamlenga mtanzania au majiangalia wenyewe kwa haya mnayoyafanya. TL amesema kidogo tu mnaanza kutangaza ajira mara mnalipa malimbikizo wa wafanya kazi, hii haina maana nyingine zaidi ya kuwa Lissu ndio mkombozi wa sisi watanzania wanyonge.
Umeshaanza kuweweseka comrade unakimbulia kwenye kejeli.Akili fupi hizi za kusomesha namba. Nenda kasutane na mashosti kibarazani hao ndio saizi yako.
Vita haina hodi ipo siku hata wewe unayetumia huo msemo wa kijinga eti kujificha kwenye keyboard utajutia ubaya wenu, hakuna mabaya hayana mwisho wake ipo siku ushetani wenu utafika mwishoHivi wakisema wakianzishe unaweza kutoka na kuwa front au unaongea ukiwa umejificha kwenye keyboard
Kwani ni lazima yafanane na yako? Mimi yangu ndio haya hapa.
JPM 2020-2025
CCM 5 TENAAA