Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Kazi gani watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara?
Comrade kipindi cha awamu ya tano wote tumeshuhudia hakuna hata mtumishi mmoja aliyegoma kufanya kazi kama ilivyokuwa awamu ya nne hicho ni kithibitisho tosha kuwa watumishi wameridhika na performance ya Jemedari Magufuli.
 
Kinondoni Hadi bint akauliwa sababu ya tume,rejea chaguzi za kihuni za marudio,rejea chaguzi za kihuni za serikali za mitaa.
Kwasababu uliyemtaka wewe hakushinda ndio unaiita chaguzi za kihuni?
 
Ya
NECCCM haikupotezea mapingamizi ya Lisu bali NECCCM Tumeccm ilifanya maamuzi haramu ya kishetani, ukweli kama ingekuwa ni Tume huru ya uchaguzi ingetoa maamuzi sahihi kabsa, CCM inaihujumu chadema waziwazi kupitia NECCCM chombo binafsi cha mtukufu mwenyekiti wa CCM kinachofanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM badala ya katiba na Sheria
Yahya Jameih, bashir, Mugabe walimiliki tume lkn wananchi hawakuzuiwa kushinda uchaguzi.
 
Mapolisi ndo Wana hasira Sana na ccm wanufaika ni mabosi zao chance ya kugeukwa Ni kubwa,kule Robert Amsterdam anafile kesi direct the Hague,hapa ndo stoni amechanganyikiwa kabisa mbili moja haikai achague the Hague au Chato.Wakurugenzi tunaishi nao mitaani tunasali nao wakivuruga tu uchaguzi Kama wananchi tunayo haki ya kuwadhibu.
IGP wa kenya na uhuru kenyata waliponusa uchungu wa ICC leo hii wamejifunza wanaishi vizuri na upinzani hawana mambo yasiyo na tija kwa Taifa kuwabambikia kesi wapinzani kama ilivyokuwa kwa Tanzania
 
Huyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.

Haiingii akilini kwa kutomuandikia Magufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.

Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!
Hata wewe itakugharimu tu Na kizazi chako kinajurikana. njoo Mara uone kazi
 
NEC CCM mmeanza figisu zenu,TL ni hatari na nusu.

Wote mtatoka mafichoni na bado nguvu ya umma .

Anzeni na Jiwe kwanza anayetamka hadharani wananchi wasichague upinzani mara kutatokea vita,

Anasema hatapeleka miradi ya maendeleo mahali panapoongozwa na mpinzani.
 
Yaani tundu lissu toka arudi kutibiwa akili zake haziko sawa kila kitu sisi hatuwezi wanaweza ubelgiji si akagombee uko aliko toka atuache na amani yetu
 
IGP wa kenya na uhuru kenyata waliponusa uchungu wa ICC leo hii wamejifunza wanaishi vizuri na upinzani hawana mambo yasiyo na tija kwa Taifa kuwabambikia kesi wapinzani kama ilivyokuwa kwa Tanzania
Five walidhani Ni miaka 200 wakichezea Kodi zetu badala ya kutuletea maendeleo wamezitumia kumshughulikia mbowe.hamadi uchaguzi huu hapa hawana jipya,wakaanzia kampeni Kanda ya ziwa huku wamesahau waliwazulumu wavuvi nyavu zao,watu wamelipishwa faini Hadi milioni 4 kwa kukutwa na kitoweo Cha samaki.Moto waliokumbana nao Kanda ya ziwa ngome yao hawana hamu wameomba usaidizi wa tume.
 
Leta ushahidi chief minyoo wa makonda kusamehewa kukwepa kodi sio unaleta porojo za vijiweni.
Upewe ushahidi wewe punje ili iweje wakati umekariri zidumu fikra zisizo za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zote, watapewa ushahidi wale wanaojielewa pekee.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.

Chanzo: TBC Online
Hivi NEC haina kanuni ya kucharaza bakora hadharani? Hii ingependekeza kuliko faini ya pesa! Ahahahahahahah!
 
Aliongelea mgombea individual na kumtaja jina lake? Akamtaja Labda Tundu Lisu kwa jina? Ulishamsikia Magufuli akimtaja Lisu kwa jina lake?
Acha mizengwe wewe mpinzani wake ni nani hivi sasa ambaye polepole kila kukicha anaitisha press?
 
Five walidhani Ni miaka 200 wakichezea Kodi zetu badala ya kutuletea maendeleo wamezitumia kumshughulikia mbowe.hamadi uchaguzi huu hapa hawana jipya,wakaanzia kampeni Kanda ya ziwa huku wamesahau waliwazulumu wavuvi nyavu zao,watu wamelipishwa faini Hadi milioni 4 kwa kukutwa na kitoweo Cha samaki.Moto waliokumbana nao Kanda ya ziwa ngome yao hawana hamu wameomba usaidizi wa tume.
Unyanyasaji uonevu uovu wa utawala huu kandamizi wa kidikteta ni vigumu kusahaulika mioyoni mwa watanzania wenye Akili timamu
 
Hivi NEC haina kanuni ya kucharaza bakora hadharani? Hii ingependekeza kuliko faini ya pesa! Ahahahahahahah!
Wambie NECCCM Tumeccm waanze kumcharaza polepole aliyewaita wapinzani misukule
 
Back
Top Bottom