Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Huyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.

Haiingii akilini kwa kutomuandikia Magufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.

Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!
Unaushabiki wa kulevya, Mpaka unakurupuka:
1. Tundu Lissu Mikutano yake akiimaliza anafanya Maandamano bila kibali.
2. Tundu Lissu akifanya Mikutano huzidisha muda wa kampeni.
3. Tundu Lissu akifanya Kampeni ili kutafuta kiki hutukana watu Mfano Watumishi wa Serikali kuwaita takataka, n.k.
4. Tundu Lissu anakejeli Miradi ambayo huitumia hata kufika maeneo ambayo anayakejeli.
5. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake hawaelezi Wananchi ajenda/Dira yake kwa Wananchi. Anachokifanya ni kulalamikia Risasi alizopigwa na kikosi cha Mwenyekiti wake, kujipendekeza kwa wakoloni, n.k.

NB: To be patient anatakiwa kubadilika. Asije akajisahau kwamba hakuna maisha baada ya kugombea aende akawaulize watangulizi wake 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ccm sio mtu mmoja kama mlivyo chadema na Mbowe, ccm itadumu daima na milele kwasababu sisi hatuwekezi kwa mtu bali wa umma.
Kwa hili nakupinga.2015 mlikuja na slogan ya chagua Magufuli.Kabla ya kukemewa na Mkapa ilkuwa credit zote ni kwa serikali ya Magufuli na sio ya CCM.Kwa hili kidogo umeghafilka.
 
Unaushabiki wa kulevya, Mpaka unakurupuka:
1. Tundu Lissu Mikutano yake akiimaliza anafanya Maandamano bila kibali.
2. Tundu Lissu akifanya Mikutano huzidisha muda wa kampeni.
3. Tundu Lissu akifanya Kampeni ili kutafuta kiki hutukana watu Mfano Watumishi wa Serikali kuwaita takataka, n.k.
4. Tundu Lissu anakejeli Miradi ambayo huitumia hata kufika maeneo ambayo anayakejeli.
5. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake hawaelezi Wananchi ajenda/Dira yake kwa Wananchi. Anachokifanya ni kulalamikia Risasi alizopigwa na kikosi cha Mwenyekiti wake, kujipendekeza kwa wakoloni, n.k.

NB: To be patient anatakiwa kubadilika. Asije akajisahau kwamba hakuna maisha baada ya kugombea aende akawaulize watangulizi wake 🤣🤣🤣🤣🤣
Mtaongea propaganda zote mwaka huu. Eti kawaita watumishi wa serikali takataka 😂😂😂

Yaani mnatuona watanzania wajinga eeeh??? Mtatuona hatukumuangalia kabudi akisema ametolewa jalalani??? Kweli Ccm vilaza sana
 
Unaushabiki wa kulevya, Mpaka unakurupuka:
1. Tundu Lissu Mikutano yake akiimaliza anafanya Maandamano bila kibali.
2. Tundu Lissu akifanya Mikutano huzidisha muda wa kampeni.
3. Tundu Lissu akifanya Kampeni ili kutafuta kiki hutukana watu Mfano Watumishi wa Serikali kuwaita takataka, n.k.
4. Tundu Lissu anakejeli Miradi ambayo huitumia hata kufika maeneo ambayo anayakejeli.
5. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake hawaelezi Wananchi ajenda/Dira yake kwa Wananchi. Anachokifanya ni kulalamikia Risasi alizopigwa na kikosi cha Mwenyekiti wake, kujipendekeza kwa wakoloni, n.k.

NB: To be patient anatakiwa kubadilika. Asije akajisahau kwamba hakuna maisha baada ya kugombea aende akawaulize watangulizi wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida ipo wapi. Kama hana sera/ dira si ni jukumu la wananch kusmua na sio NEC
 
Nikaja kukula wewe au?


Baada ya kuliwa na Askofu Gwajima ?? Usijaribu kuharibu uzi umeishiwa nenda kwa Gwajima akakutafune hapa hupati mtu. Makamanda wako kuikomboa nchi
 
Sasa comrade wewe unadhani unajua sana kuliko Tume ya uchaguzi? Lissu kaitwa kwa sababu ya kutokwa na meneno ovyo yaani anaropoka. Tume inasimamia wagombea wote na kungekuwa na ulazima wa kumuita JPM wangefanya ivyo ila kwasasa Lissu ndio kaitwa tumuache akanyolewe kelele za nini?
Mara nyingine hata kama nyie ni matatumbeta ya Lumumba muwe mnatumia akili zenu!! Una akili ya kuandika humu lakini huwezi kuona UKIUKWAJI mkubwa wa KANUNI za kampeni na MAGUGULI?
Hata wewe itakugharimu tu Na kizazi chako kinajurikana. njoo Mara uone kazi
Mtu mwenyewe unaitwa Mugabe one sasa tukujibu nini wakati umerithi jina lenye laana
 
Kwa hili nakupinga.2015 mlikuja na slogan ya chagua Magufuli.Kabla ya kukemewa na Mkapa ilkuwa credit zote ni kwa serikali ya Magufuli na sio ya CCM.Kwa hili kidogo umeghafilka.
Mkuu 2015 unajua vizuri kabisa chama kilikua na hali gani ilifika kipindi tulishindwa hata kuvaa sare za chama mitaani kwa uhuru. Uliza leo tunajimwaya na kujimwaga kwa uhuru sababu kubwa ni kuwa chama kimerudisha imani kwa wananchi.
 
Mahera ni nani? Mtu yeyote ambaye anaishi kwa kulamba nyayo za wanasiasa badala ya kuegemea taaluma yake na maadili ya ofisi aliyokabidhiwa, anakuwa takataka mbele ya jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena tuna hadi video zake akishiriki vikao vya Ccm mpumbavu huyu. Anajifanya watanzania wa leo ni wajinga sana eeh??
 
CCM wamepoteza mvuto, kilichobaki wanakimbilia vibaraka wao NEC na polisi. Mwaka huu hamchomoki mbwa nyie
 
Kwa hii kasi ya Lissu inahitaji kifua kuivumilia naona CCM wameanza kushika shati baada ya kuzidiwa mbio.

Ile kauli ya Bashiru kuwa tutatumia Vyombo vya dola kubaki madarakani naona wamenza kuifanyia kazi.

NEC mjipanga vyema kwa hoja, mkikaa vibaya badala ya kumhoji itaonekana mnahojiwa nyinyi..

Kwa hii hatua naona mmeamua kumpa headline kwenye Vyombo vya habari bila gharama.
Kila hila wanayoifsnya kwa LISU MI KUMPA MAILAGE KUBWA SANA sasa LISU ASIACHE KWENDA TENA MAANDAMANO YAAMZIE PALE PALE AU KONDOA
 
Ukianzishe nyuma ya keyboard??? Uyo TL hana fikra finyu kama zako anajua madhara ya kutoitikia wito yalivyo sidhani kama atachukua ushauri wa ovyo kabisa kutoka kwako.
Mtajua hamjui mwaka huu. Jaribuni kufanya udhalimu wenu juu ya Lissu muone kama tunatania nyuma ya keyboard au Tuko serious
 
Back
Top Bottom