Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haraka ya kuchukua biashara ya nguzo za mitiHazina vyuma ndani ndio tatizo
Sawa mfanyabiashara wa nguzo huko mufindi tumekuelewa,,hiyo milingoti mtakuja kupikia chakula siku moja teknolojia inakua kasi sana,,jipangeni upya hamna tofauti na waarabu muda wowote mafuta watayapigia mswaki.Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.
Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.
Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.
Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Tuwape DP World wafanye hii project, sisi huwa kawaida yetu kushindwa. Hii technology ya nguzo za zege, tumekwamaKwa akili yako tuendelee kukata miti kujenga nguzo? FYI Hizo nguzo si nzito hivyo kwavile Zina uwazi (hollow) katikati nguzo ya miti ni nzito zaidi!
Tunataka nguzo ziboreshwe tu wafate kanuniHaraka ya kuchukua biashara ya nguzo za miti
We umesomea wapi?Unajua hazina expansion joints. Kwahiyo ni hatari hata sijui nani kazi katengeneza
Tunataka ziboreshwe waweke vyuma na wafuwate kanuni za ujenziTuwape DP World wafanye hii project, sisi huwa kawaida yetu kushindwa. Hii technology ya nguzo za zege, tumekwama
MshangaoNguzo za Zege huwa na nondo ndani, hiyo iliyokatika hapo haina nondo, imekuwaje?!!
Badala ya kulilia nondo mleta uzi analilia E. JointNguzo za Zege huwa na nondo ndani, hiyo iliyokatika hapo haina nondo, imekuwaje?!!
I think Vyote ni muhimu sanaBadala ya kulilia nondo mleta uzi analilia E. Joint
Sio kweli, sio kila kitu cha ku cast kinahitaji ex..joint usikariri.I think Vyote ni muhimu sana
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.
Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.
Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints. Hayanihusu.
Video hii hapa nguzo imeanguka.
View attachment 2693787
nini tofauti ya weight na load? nipe ufafanuzi wa hili kwanza ndo uweze kuelewa pole yenyewe haizidi 400 kg! Na pia leta weight ya hizo wooden poles! Tuone kama unachoongea ni kweli! Na kumbuka hata poles za miti hubeba same load!Sasa hiyo 9m huoni ina 600kg, nimedanganya wapi. Kumbuka nilisoma moja ya nguzo zilizokuwa zimelazwa chini karibu na makazi yangu.
Ila jamani hii nchi sijui tulikosea nini hadi kupewa adhabu kubwa hivi ya kuwa WATU WABABAISHAJI NA WAJINGA KUPITA KIASI.Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.
Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.
Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints. Hayanihusu.
Video hii hapa nguzo imeanguka.