Mikopo kwa watumishi wa umma ni kuliwa tu.Siku watumishi wakiamka benki zitalia.Hakuna benki inayolenga kukusaidia bali kukutafuna mpaka pumzi ya mwishoUlichukua ENZI hizo riba asilimia 22. Pole sana, kama halijaisha nenda kaliuze Crdb au pbz Wana asilimia 12 Sasa hivi, upunguze machungu hata ya milioni 2.
Hata wakikuambia 12% bado ni mule mule, zidisha mara 7 ni asilimia 84Aiseee mbona ulijichanganyaa Parefu Mnooo.. yani unarudisha asilimia 100 ya hela uliyokopa khaa...!
Ilikuwaje mkuuKuweka Bond gari zangu PLATNUM credit yale majaamaa makopeshaji pale Morocco. Ni majizi matapeli makubwa. Tafadhali ndugu zangu kamwe msiende kuwakopa wale washenzi
Aisee msalaa sana[emoji3][emoji3][emoji3]Hata wakikuambia 12% bado ni mule mule, zidisha mara 7 ni asilimia 84
Polee sana,ila usikate tamaa endelea kuomba Mungu akusaidie ,na pia usichoke kutafuta tibaKwa maobi niliyoomba tokea niugue kama ningeyahamishia yakawa ni kuomba nipate pesa ningekuwa tajiri mkubwa
yani unaweza kuwa unaomba kila baada ya dakika kazaa lakini wapi
Kuchelewa kuoa mkuu,nilioa nikiwa na 30Wee unajutia nini mkuu
Duuuh kweli ulichelewa mkuu daah so sad...Kuchelewa kuoa mkuu,nilioa nikiwa na 30
HahhahaIpo sana hata ukijifanya mgumu wana mbinu nyingi za kukujaza kwenye 18 zao mhudumu pisi kali kavaa ki shot paja nje anakuhudumia huku anakusiginia tako lake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu ndoa sio utapeli. Mimi najuta kuchelewa kuoa. Ningekuwa mbali sana. Usisikilize maneno ya watu.Duuuh kweli ulichelewa mkuu daah so sad...
Ulichelewa kuingia kwenye UTAPELI
Naongea kwa experience yangu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu ndoa sio utapeli. Mimi najuta kuchelewa kuoa. Ningekuwa mbali sana. Usisikilize maneno ya watu.
Nae anaongea kwa experince yake kwenye ndoa.Naongea kwa experience yangu mkuu
7years mkuuNae anaongea kwa experince yake kwenye ndoa.
Duuh wewe ndio mentor wa dronedrake7years mkuu
Naposema NDOA NI UTAPELI NAMAANISHADuuh wewe ndio mentor wa dronedrake
Daa pole huyo mwanamke yupoKuolea nyege najihisi mwenye hatia katika maisha yangu naisi kuna kitu hakijakaa sawa
Pole. Tafuta hospital ya masister (esp ya kule tegeta)wanakuaga na dawa nzuri sana..all the bestNajuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
30 nayo umechelewa? Ebu kuwa serious mkuuKuchelewa kuoa mkuu,nilioa nikiwa na 30