Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Walio okoka hawako duniani.
 
Kuuza drugs.

Niliacha baada ya kuwekwa bondi ughaibuni.

Hiyo picha inanitesa kwa miaka.

Nashukuru Mungu sasa hivi unifanyishi dili haramu. Never ever
Aisee kwa sasa umeamua uwe chawa
 
Mkuu ahsante kwa comment hii. japo sijaelewa hapo kwenye siri ya furaha. fafanua plz.
 
Wewe mwenyewe hujatoa ya kwako,then unataka wengine watoe...si kuchorana huku?

Who cares
 
Nilipoenda na furushi langu la bangi Oysterbay Polisi, ili niwauzie FFU, maana niliwaona sehemu wakilipuliza, hivyo nikaona ni busara nikiwapelekea mzigo wa jumla
 
Kosa kubwa sana hil, dah kweli binadamu unamwambia mwenzio huna mbelw wa nyuma kama mche wa sabuni! Hakika kumpenda yule mwanamke ndio lilikuwa kosa kubwa sana
Acha tu ndugu yangu maumivu niliyonayo wallah ni funzo tosha binadamu ni viumbe ambao ukiwaamini saana na kuwapenda saana basi jiandae kutendwa tena tendo moja takatifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…