Ni kosa kubwa sana kwa askari kunyang'anywa silaha yake

Ni kosa kubwa sana kwa askari kunyang'anywa silaha yake

Hamza alifanya ambush... Kwenye ambush hata awe komando ananyanganywa silaha vizuri tu maana kwenye silaha wa kwanza kubonyeza trigger ya silaha yake ndio mshindi.

Bunduki sio Kama jiwe kile ni chuma kikipita kwenye nyama ushaisha mapema tu.

Kwa hiyo kwenye ambush kijeshi mkitegwa hata platoon nzima inaweza kumalizwa na maadui wawili tu.

Tulishapigwa ambush kalemie Congo kwenye oparesheni ya kijeshi. Usiombee.
Kwa hiyo polisi unanyang'anywa risasi na mtu kama hamza alafu unasingizia ambush?
 
Kwa hali ya kawaida askari mwenye bunduki anatakiwa akae mita kadhaa na mtu kwa hali ya kawaida angalau mita moja, ili kitendo chochote kitakacholeta mashaka ukigundue mapema na ua act without hesistation , Ila ktk ambush .uchomoki labda target ikukose
Yani askari unavamiwa na mtu kama hamza alafu unasingiza ambush?
 
Nilipitia mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka mmoja miaka hiyo. Baada ya kumaliza ukuruta (pass out) tulipatiwa uwezo wa kulinda vituo mbalimbali kwa kutumia silaha za moto. Onyo kali tulilopewa ni kuhusu ubaya wa askari kunyang'anywa au kupoteza silaha yake, kofia, buti au chochote kinachomfanya aweze kutimiza majukumu yake ya uaskari.

Tufanye nini ili wananchi tuambiwe ni kwanini askari wetu walipokonywa silaha zao na Hamza?
Kwanini Hamza asingeachwa ili ahojiwe zaidi yeye mwenyewe?

Hakuna aliyestahili kujiuzulu kwa tukio lote lile?
Hamza anatetewa na chama chake, Chama Cha Magaidi
 
Mtu mmoja hawezi kuwa gaidi wala kufanya ugaidi. Ugaidi unafanywa na kundi lenye malengo na madai fulani. Hamza analifanya ugaidi kwa kutumia kundi gani lenye malengo gani? Mtu akiiangalia picha za ngono za ukahaba kwenye internet nae ni kahaba? Je, kuangalia picha za kigaidi kwenye mtandao kunamfanya mtu awe gaidi? Kwanini aliuawa badala ya kushikiliwa kwa mahojiano ya kina kuhusu mtandao wao kama kweli ana mtandao?

hizi tafsiri zako umetoa wapi???

mtu ataangalia x asiwe kahaba,ila anawezafanya ukahaba kwa sababu hiyo,au sio??
kama mtandao upo utapatikana tu,wewe unajua kinachoendelea kwani??au unahoji tu kwa misingi ya ujuaji???
 
Rwanda askari kuanzia trafik wako standby muda wote tena hawana viti vya kukaa wala vibanda na hata askari wa doria wako standby muda wote, tanzania askari mlinzi wa benki anakaa kwenye kajumba yuko ndani anaagiza supu anakula kwa kurelax anaenda kunawa huku silaha kaiacha kwenye kijumba, trafiki ndio usisrme hayo matumbo utafhani mafurushi ya mavi, wanaweka na viti kabisa ni kujiachia na kujamba hovyo ukakamavu wa depo ndio uliishia kule kule kuna mambo inabidi yabadilike askari unaweza kiti unakaa kabisa hua nashangaa sana
 
Hamza alifanya ambush... Kwenye ambush hata awe komando ananyanganywa silaha vizuri tu maana kwenye silaha wa kwanza kubonyeza trigger ya silaha yake ndio mshindi.

Bunduki sio Kama jiwe kile ni chuma kikipita kwenye nyama ushaisha mapema tu.

Kwa hiyo kwenye ambush kijeshi mkitegwa hata platoon nzima inaweza kumalizwa na maadui wawili tu.

Tulishapigwa ambush kalemie Congo kwenye oparesheni ya kijeshi. Usiombee.
Sio kweli, kila mahali pa kazi watu wanafanya risks analysis na namna ya kukabilana na risks kama zikitokea (risks management). Askari mwenye silaha ni mambo gani anapaswa kuyazingatia kuhusu yeye mwenyewe, silaha yake na watu wanaomzunguuka? Tahadhari gani walichukua kujilinda, kuilinda silaha na kuwalinda wanaomzunguuka?
 
unazungumzia mavuno ama askari,maana wenzako wanalaumu kwanini walimuua,au hamza alianguka kifafa mwenyewe???
Dogo soma nilichokiandika unaelewa nini nianaposema Hamza alitaka apate mavuno mengi
 
Rwanda askari kuanzia trafik wako standby muda wote tena hawana viti vya kukaa wala vibanda na hata askari wa doria wako standby muda wote, tanzania askari mlinzi wa benki anakaa kwenye kajumba yuko ndani anaagiza supu anakula kwa kurelax anaenda kunawa huku silaha kaiacha kwenye kijumba, trafiki ndio usisrme hayo matumbo utafhani mafurushi ya mavi, wanaweka na viti kabisa ni kujiachia na kujamba hovyo ukakamavu wa depo ndio uliishia kule kule kuna mambo inabidi yabadilike askari unaweza kiti unakaa kabisa hua nashangaa sana
rwanda ina eneo kubwa kiasi,watu,idadi ya askari,mitaa,na idadi ya watu wanaopewa huduma??

haya mambo msijadili kwa mkumbo mkumbo tu.
 
Sio kweli, kila mahali pa kazi watu wanafanya risks analysis na namna ya kukabilana na risks kama zikitokea (risks management). Askari mwenye silaha ni mambo gani anapaswa kuyazingatia kuhusu yeye mwenyewe, silaha yake na watu wanaomzunguuka? Tahadhari gani walichukua kujilinda, kuilinda silaha na kuwalinda wanaomzunguuka?
ukiambiwa kazi ya polisi ni ngumu unabeza.

hawa ndio polisi mnaolalamika hawana customercare nzuri maana wana stress za maisha wakiwakaripia msiwasogelee.

wakiwatendea jema mashetani wanatumia mwanya huo kuwaua.
 
Swala la kutumia SILAHA NI SWALA LA "TIMING" Tusiwe wepesi kulaumu eti askari wazembe. Ukishafanyiwa TIMING hata ungekuwa na kombora halitakuwa na faida kwako!
kama ni swala la "Timing,, asa Depo miezi6 wanaenda kufanya nini!?
 
Rwanda askari kuanzia trafik wako standby muda wote tena hawana viti vya kukaa wala vibanda na hata askari wa doria wako standby muda wote, tanzania askari mlinzi wa benki anakaa kwenye kajumba yuko ndani anaagiza supu anakula kwa kurelax anaenda kunawa huku silaha kaiacha kwenye kijumba, trafiki ndio usisrme hayo matumbo utafhani mafurushi ya mavi, wanaweka na viti kabisa ni kujiachia na kujamba hovyo ukakamavu wa depo ndio uliishia kule kule kuna mambo inabidi yabadilike askari unaweza kiti unakaa kabisa hua nashangaa sana
Askari wetu ukiwatuma waende kusimamia usalama kwenye viwanja vya mpira wanashindwa kumuona aliyerusha chupa ya mkojo uwanjani, maana na wao wanaangalia mpira kama wengine tu.
 
nakumbuka siku Moja nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni Askari kituo chake cha kazi.
ilikua mpakani kwenye check point kati ya dom na singida. wakati wa stori haja ikanishika nikaelekea kwenye kichumba ambacho nilijua ni toilet kumbe ndio mikwasa inahifadhiwa huko aisee kilichotokea sitaki kuelezea.
 
Lengo lake hasa lilikuwa nini?
lengo lake lilikuwa kupata silaha,kisha akutane na wenzie nao wakiwa nazo mbili ambazo wangezichukua hapa ufaransa,kisha waelekee next stage sitaitaja.

bahati mbaya akakuta wenzie hawakufanikiwa kufanya alichokifanya.

wakati wapuuzi wanapiga makelele humu unaweza waangalia halafu ukabaki unasikitika tu.
 
Back
Top Bottom