Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Gentleman,Sijui kati yangu na wewe nani ameandika kiubinafsi, kwamba kisa wewe unajiweza kiuchumi(?) basi unashurutisha wote "tutafute pesa". Unadhani watu hawazitafuti?
mimi ile kitu naweza kufanya kwa bidii sana ni kilimo, hapa kusema ukweli najiweza.
Acheni uvivu basi ndrugo zango na mkate bima za afya japo si Lazima?🐒