Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Wizara ni nini???
 
Binadamu huwa hatupendi kusikia tusichopenda kusikia.Unaweza kukuta kilichoandikwa ni kweli ila sasa CCTV camera kung'olewa ndiyo inaleta mkanganyiko.Mungu ibarki Tanzania
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
kwayoyote mwenye kuajiri hawa watu walete taarifa zadizain hii namuomba anitafute. Mim nimtalam nampishi mzuri wastory kama izi haiwezekani mtu alipwe buku 7 per alafu alete habar pumba kias hiki. Kwayoyote muhusika nahili swala anitafute naatafurahiswa nakazi yangu
 
Kweli Mkuu, wameona anajinufaisha peke yake, wakaona isiwe tabu
Usikimbie. Jamaa aliyekupa taarifa hii anafanya serikalini na waliokuwa wanampa Lissu nyaraka za serikali ni wafanyakazi wa serikali hivyo ukiunganisha wafanyakazi wa serikali ndio waliompiga risasi na moja kwa moja serikali imehusika!
Swali, kama hiyo inajulikana na wewe una taarifa hizi ulizopewa ni kwanini uziweke hapa badala ya kuzipeleka kule wanakosubiria kusaidiwa ili wakamatwe na washtakiwe ili tumjue mhaini na msaliti halisi kati ya wanyofoa nyaraka na muuzaji na wauaji na huenda na bunduki ile walikodi ili wakodishaji ambao kwa vyovyote ni dola ishtakiwe kwa kukodisha silaha ya kivita?
Haya vyombo vya uchunguzi mmempata msaidizi mtumieni awaongoze huenda mkampata mhusika!
But kijana mleta hoja ikiwa taarifa hizi ni za kutunga ili kuwafurahisha lumumbas siku polisi wakiwa seeious usije kulia kwani polepole hana uzoefu na mahakama! Utajuta na familia yako hao unaowatumikia sio watu!
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Ziko hadithi nzuri...hii hukupangilia..
 
kwayoyote mwenye kuajiri hawa watu walete taarifa zadizain hii namuomba anitafute. Mim nimtalam nampishi mzuri wastory kama izi haiwezekani mtu alipwe buku 7 per alafu alete habar pumba kias hiki. Kwayoyote muhusika nahili swala anitafute naatafurahiswa nakazi yangu
Mkuu kama ni Pumba, ungepita tu kimya kimya
 
Leo utapewa za uso! unaleta habari ambayo hawataki kabisa kusikia.
 
Back
Top Bottom