Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Sitasahau siku Juventus anacheza na Valencia uefa cl, mkeka ulikuwa na tim 9 Kati ya hizo 8 zikawa zishatiki, nilikuwa nimempa magoli matatu +2.5 ,mpaka dkk ya 90+ Ngoma ilikuwa inasoma 1:1 ,Kimazabe Valencia wakapata tuta.kuna MBWA mmoja wakuitwa Danny Parejo akachukua mpira[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Sijui sliver? Maana aliupeleka mpira mikononi mwa kipa Kama pasi Tu yakawaida,na huo ndo ukawa mwisho WA M 18 nilizokuwa nazinyemelea
 
Chelsea vs Watford
Tarehe 26/12/2015

Dau 4,900,000/

Chelsea alikuwa na odds 2.0
Nikampa ikawa inaleta 9,800,000/
Enzi hizo hakuna kodi
Chelsea kapewa Penalt dakika ya 80 Oscar kapaisha
Game ikaisha 2-2
Nakumbuka hii ngoma ndio ilisababisha uape kutoibetia chelsea tena?
 
Sitasahau siku bayern anatoa draw ya 2-2 na stuttgart. Nilikuwa nakula 9.5M yaani goli linarudishwa dk ya 92, nilikosa usingzi wiki nzima, aisee depression ni mbaya sana.
Ndio maana una alias name ya dawa hahaha pole sana. Wahanga wa hiyo makitu tupo wengi sana
 
Kuna watu wanakuja kujiaibisha hapa.
Eti mtu anashangaa mtu ku-stake 250,000 kwa timu moja anasema ni chai! Si ushamba huu!

Mi mwenyewe hapa kapuku, kuna kipindi mwaka 2018 nilikuwa napiga deiwaka sehemu kwa mshahara wa 300,000, wakati huo huo nilikuwa na mishe sehemu nyingine kwa 180,000 kwa mwezi. Lakini kwa kipato hicho cha kikapuku nishawahi kustake 950,000 ambayn kwangu ilikuwa nyingi sana. Sasa mtu anatokea anashangaa 250,000!

Kuna mwamba hapa JF Going Concern alikuwa anastake 4,000,000. wakatokea watu wakawa kama wanafurahi hivi akiliwa, mwamba akapotea moja kwa moja, nadhani atakuwa anabeti kimya kimya anatuona sisi wengine tuna mawazo ya kimasikini. Ila mimi alikuwa ananiinspire sana na mastake yake mlima.
 
Kuna watu wanakuja kujiaibisha hapa.
Eti mtu anashangaa mtu ku-stake 250,000 kwa timu moja anasema ni chai! Si ushamba huu!

Mi mwenyewe hapa kapuku, kuna kipindi mwaka 2018 nilikuwa napiga deiwaka sehemu kwa mshahara wa 300,000, wakati huo huo nilikuwa na mishe sehemu nyingine kwa 180,000 kwa mwezi. Lakini kwa kipato hicho cha kikapuku nishawahi kustake 950,000 ambayn kwangu ilikuwa nyingi sana. Sasa mtu anatokea anashangaa 250,000!

Kuna mwamba hapa JF Going Concern alikuwa anastake 4,000,000. wakatokea watu wakawa kama wanafurahi hivi akiliwa, mwamba akapotea moja kwa moja, nadhani atakuwa anabeti kimya kimya anatuona sisi wengine tuna mawazo ya kimasikini. Ila mimi alikuwa ananiinspire sana na mastake yake mlima.
Ukitaka kubeti vizuri uweke stake nono timu chache. Haina maana timu chache hutopeteza la hasha', unaweza kupata au kukosa.

Ila kwa wababe wanaobeti kama kazi au biashara hawanaga kelele, magroup wala kimuhemuhe, huwa wanaweka stake mpaka mtu ukiona unaogopa. Haaaa,,,,!
 
Hivi michezo ya kubashiri inaweza kutumika kama njia ya kujikwamua kiuchumi? Vipi kuhusu uraibu (addictions) faida na hasara kwa vijana, watoto na jamii kwa ujumla?
Nakumbuka nipigaga mhindi 1.5M kwa Jero tu

Nilibugi nikatoa 500k nikaitafuna sana siku kula saana

1M ikawa imebaki nilichokosea nikaweka tena bet nyingine kisha nikasukumia 1M yoote ndani haikurudi ubaya timu iliyochoma ilikua na Odds 1.02 tu ikafungwa vibaya siku hio

Sio uraibu ila usiwe na moyo mdogo inaweza ikakuchukua na ndio maana watoto hawaruhusiwi kushiriki
 
kuna mechi mwaka jana walicheza Barca na na timu flani ya Japan mechi ya kirafiki, nikampa Barca mzima mzima, nikaweka stack 300k.

Barca akapigwa kimoja tu, yaani kimoja tu cha nguruwe. Tokea hapo sasa nikapata akili ya kubeti kistaarabu[emoji23][emoji3]
Ulikurupuka boss mechi za kirafiki uwa hatubetii
 
Option 1-5 ndio habari yenyewe, bata zangu zinaboostiwa na hio option, nikiwa sina pesa na ninampango na pisi kali ndio zangu, mende wenu kama bayern, mancity, psv, ajax, benfica siwagusi sitaki ujinga.
Ipo kampuni gani hii?
 
Kuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwaiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.

Mchezo uliisha 3 - 3!

Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Jinsi Nilivyomsaidia Mr.Melinyo Kumtengenezea 7M Ndani Ya 1 Wiki Tu…
 
Kuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwaiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.

Mchezo uliisha 3 - 3!

Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Nilivyobet na Kuliwa Tsh 100,000 ya Ada ya Chuo
 
Back
Top Bottom