🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka mno mnoooKale kamama KANENE cha kwenye lile swala la TRA ni kachaga pia.
Kafupi kanene kama kibanda cha MPESA, halafu kichwa kidooogooooo!
Kamejaa, matuta, wowowo, mafenesi, manyonyo kama mapapai, kamejaa kako MVIRINGO
Ni jau sana 🤣🤣😂 anataka akiwa anatokeza lianze tumbo kuonekana
Mwanamke kunenepeana n swala la muda tu labda awe amekula nailon.Ni jau sana 🤣🤣
🤣🤣🤣 kuna mtu alikuwa na 49kgMwanamke kunenepeana n swala la muda tu labda awe amekula nailon.
Yani huyo atakuwa kama tenki la Lake oil 😂🤣🤣🤣 kuna mtu alikuwa na 49kg
Mpk anaenda kujifungua ana 59
Namsubiria atoke martenity leave
Ndio nitaamini huu usemi
Azae kwanza ndo atajua yeye ni mnene kias ghanYaani atulie tu nlikua kama yeye nahangaika kunenepa, baada ya kuzaa nimefutuka natamani kulia nahangaika kupungua sasa
Kabisa, hujakosea😂😂😂50 si wale wako kama moja? au we mfupi?
Bhange kuna watu inawakausha mwili hivyo bora atumie hizo b complex na c zitampa apetite vizuri tu na zina kazi yake mwilini. Mjani sio kitu poa sana basi tu ni stareheAsi sahau kuvuta bangi kwa ajili ya kuongeza hamu ya kula.
mi napendaga mibonge, minyama nyama!
Kofi moja tu lishakojoa
'elewa maana ya kukojoa'
Sema huna stamina tu ya kuendesha mizigo mkuu...Yana nuka,fangasi ndio kwao,mijasho,hayanyumbuliki,wanawake mabonge changamoto sana.
Kwa upande wa bi mdashi wote wabonge sema watoto wa bimdashi sote ni wembambaKwa nini unakula kidogo bibie?
Mazingira yako ya kazi au nyumbani hayakuruhusu kula kwa wakati?
Je unauhakika mwili huo unaoutaka kwenye familia yenu watu wengi wapo hivyo isipokuwa wewe tu ndio sio kibonge?
Mmi urefu ndo unaniongezea kilo ani but ni mwembamba overMimi nina kilo 50. 80 na wala sifikirii kuwa bonge, kwanini unataka kuwa bonge jamani?
Enhee hivi kwanini!? 🤣🤣🤣Smartphone tunafutia na paja/ hips la kulia 😂😂
Mazingira yanaruhusu sema ndo hvyo nikila kidogo tu nakua nshashiba ani,nkitaka nile vizuri mchana basi asubuhi nabid nisinywe chai...nkinywa chai mchana nkija kula nakula kidogoKwa nini unakula kidogo bibie?
Mazingira yako ya kazi au nyumbani hayakuruhusu kula kwa wakati?
Je unauhakika mwili huo unaoutaka kwenye familia yenu watu wengi wapo hivyo isipokuwa wewe tu ndio sio kibonge