Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Health centre
District Hospital
Zahanati huko ndio Hakuna call allowance
Lakini hizo stahiki zako mpaka uje uzipate si mpaka miezi mingi ipite kama wakina mama wanavyovunja vikoba?
 
Wapi wanalipa mishahara ya milioni saba, umekuwa RC au waziri?
Nimetolea mfano.
Ila point yangu ....
Umesoma BBA wewe na mwenzako ....
Wewe ukianza Kazi Halmashauri (sema Afisa Biashara) ni TGS D = 745,000
Mwenzako akianza Kazi BRELA (sema Licensing Officer) ni 1.8 - 1.6Mil
Hebu cheki huo utofauti.

Hapo huyo wa BRELA ana takehome mara mbili kama si tatu ya mwenzake.

Na mmesoma chuo kimoja na GPA mnafanana.

Si uzwazwa wa Ki-TAMISEMI huuu.

#YNWA
 
Mtoa mada hukutakiwa kumwambia mkurugenzi kuwa 2025 utaondoka, coz kuna watu wana roho mbaya, wataweza kukuwekea kauzibe.

Pia huko porini mbona gharama za maisha ni ndogo, mshahara unauona kabisa. Au wekeza kwenye kilimo, ufugaji au biashara, utapata pesa kuliko walio ktk taasisi.
Njoo nyie wa mjini muwekeze.
Kwani wewe hizo fursa unazozitaja huzitaki?

Kuondoka huku LAZIMA NIONDOKE.

#YNWA
 
Yaani hata wakuu wa idara, mwenyekiti wa halmashauri (diwani), mkurugenzi, afisa utumishi, nao hawana hela ya supu mpaka mwisho wa mwezi?
Wewe naye unadata na neno mkuu wa idara, au diwani au afisa utumishi ngoja umalize shjule utajua
 
Sasa kwanini uliomba kazi Tamisemi, si ungeomba kwenye hayo mataasisi.
Nimetolea mfano.
Ila point yangu ....
Umesoma BBA wewe na mwenzako ....
Wewe ukianza Kazi Halmashauri (sema Afisa Biashara) ni TGS D = 745,000
Mwenzako akianza Kazi BRELA (sema Licensing Officer) ni 1.8 - 1.6Mil
Hebu cheki huo utofauti.

Hapo huyo wa BRELA ana takehome mara mbili kama si tatu ya mwenzake.

Na mmesoma chuo kimoja na GPA mnafanana.

Si uzwazwa wa Ki-TAMISEMI huuu.

#YNs
 
Kwahiyo wakuu wa idara wana njaa njaa kama wewe? Kuna haja gani ya kupewa ukuu wa idara?

Na aliyekwambia aijamaliza shule ni nani?
Wewe naye unadata na neno mkuu wa idara, au diwani au afisa utumishi ngoja umalize shjule utajua
 
Halmashauri sio kabisa.. alafu wengi wajuaji sana nakutana nao kwenye Vikao nabaki kuwaangalia tu.

Alafu hata kutumia computer hawajui wengi wao, sasa kimbembe ukutane na IT wa halmashauri.. na kiflash chake kakizungushia rubber band.
 
Halmashauri sio kabisa.. alafu wengi wajuaji sana nakutana nao kwenye Vikao nabaki kuwaangalia tu.

Alafu hata kutumia computer hawajui wengi wao, sasa kimbembe ukutane na IT wa halmashauri.. na kiflash chake kakizungushia rubber band.

[emoji28][emoji28],umenikumbusha kuna jamaa alikua mwalimu akaenda kusome IT alipo maliza masomo akarudi akapewa kitengo cha IT yani ni changamoto tu[emoji28]
 
Lakini kiukweli nimeupenda sana huu uzi.
Haya ndo mambo ya kujadili, ili vijana wanaojitafuta wapange maisha yao mapema ktk ajira au kujiajiri.

Na siyo kila siku kujadili mbususu, makalio makubwa, nyeto au kula tunda kikasihara,
 
Usijilinganishe ndugu, itakuletea msongo wa mawazo na kujikuta unapoteza muda kwenye mambo ambayo yanapunguzia umakini kwenye maisha yako.
Unajilinganisha ili ujue kama upo sehemu sahihi.
Ukiona upo ngazi ya chini (baada ya mlinganisho) basi "solution" ni kuhama kwenda huko juu

#YNWA
 
Sasa bro wapi ulale inategemea na wewe na pesa Yako,rate ya posho Kwa Serikali ni Moja uwe Halmashauri au Taasisi Kwa sababu ndani ya Jiji utalipwa 150,000-220,000 kutegemea na cheo au ngazi ya salary.

Mwisho kila mtu ana maisha yake hapa Duniani sio sawa kujilinganisha na wengine

Unajilinganisha ili ujue kama upo sehemu sahihi au lah..!!
Ukiona upo ngazi ya chini (baada ya mlinganisho) basi "solution" ni kuhama kwenda huko juu.

Aliye juu MFATE HUKOHUKO.

#YNWA
 
Back
Top Bottom