Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Hakuna anayeweza kutulia kwenye ndoa mda wote anamuwaza aliyemtoa bikra

Mtoa bikra mke wako wewe mwenyewe utakuja kunishukuru
Natamani kujua umri wako,wewe aliekufundisha huo mchezo unamuwaza???tafuta wanaume walioa wanawake wenye bikra wakupe habari zao.
 
Sure kuna mrembo nlitongoza nikaomba gemu baada ya muda mrefu akanipatia, cha kushangaza alinipa Tigo akasisitiza kuwa k**a atampatia mumewe tu atakaemuoa,

nilijarbu kubembeleza sana anipe mbele nitoe bikra Ila Yule binti alisimamia kwenye msimamo mpk Leo hii [emoji23][emoji23]
So ukapiga nyuma . 🤣Umeona sasa...,😅sa si vile vile tu unamuoa mtu unajisifia bikra kumbe mwanaume kafyatua marinda ehe akimwaza huyo mwanaume Sasa...🤣wajinga Sana nyie
 
Natamani kujua umri wako,wewe aliekufundisha huo mchezo unamuwaza???tafuta wanaume walioa wanawake wenye bikra wakupe habari zao.

Mimi nakwambia uhalisia Kama wewe unahisi umri ndio ukubwa au elewa kaa na umri wako

Wengi sanaa wakiwa mabinti wanaheshimu sanaa nani? Aliyembikiri nakwambia kitu ambacho kipo wewe tetea kitu kilicho ndani yako

Wanakuwa wanawafata popote waliowatoa bikra wakakumbushie hiyo na ni kiroho kabsa sawa wewe

Wakianza kuzeeka ndio wanaanza kupotezea so bikra ni kimwili na kiroho waulize waliooa bikra watakuelekeza kitu

Ndio maana Mungu kaamrisha tusishiriki tendo mpaka tufunge ndoa, umeshindwa hata kumuelewa Mungu, mtu mgumu sanaa wewe
 
Hakuna anayeweza kutulia kwenye ndoa mda wote anamuwaza aliyemtoa bikra

Mtoa bikra mke wako wewe mwenyewe utakuja kunishukuru
Ukimtoa afu ukawa boya afu akatafuta kwengine akamkaza vizuri unadhani atamwaza nani...🤣au Wanaoana bikra unataka kutudanganyana hamna kucheat Wala kuachana
 
Wadada wenye bikra ingekua rahisi kuwabaini,hakika kila mtu angekimbilia kuwaoa,na kuwaacha ambao hawana.Wasio na bikra,washukuru tu kwamba wanaowafuata kuwaoa,hawajawapata walio na bikra.
So wewe number 1 priority ya mke wako ambaye utaishi nae miaka yote na utajenga nae familia, ni shimo lake? Kweli Tanzania tuna umaskini wa akili
 
Back
Top Bottom