Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Mimi nakwambia uhalisia Kama wewe unahisi umri ndio ukubwa au elewa kaa na umri wako

Wengi sanaa wakiwa mabinti wanaheshimu sanaa nani? Aliyembikiri nakwambia kitu ambacho kipo wewe tetea kitu kilicho ndani yako

Wanakuwa wanawafata popote waliowatoa bikra wakakumbushie hiyo na ni kiroho kabsa sawa wewe

Wakianza kuzeeka ndio wanaanza kupotezea so bikra ni kimwili na kiroho waulize waliooa bikra watakuelekeza kitu

Ndio maana Mungu kaamrisha tusishiriki tendo mpaka tufunge ndoa, umeshindwa hata kumuelewa Mungu, mtu mgumu sanaa wewe
Izo bikra Kaka zimejaa Zanzibar na Tanga kibao lakini wanaliwa jicho Sasa kazi ni kwako,oa bikra uwe na show mbovu siku achepuke akutane na fundi maji utaita mmaa ,alafu kumbuka hiyo kitu haina makombo Kama alua
 
Mimi nakwambia uhalisia Kama wewe unahisi umri ndio ukubwa au elewa kaa na umri wako

Wengi sanaa wakiwa mabinti wanaheshimu sanaa nani? Aliyembikiri nakwambia kitu ambacho kipo wewe tetea kitu kilicho ndani yako

Wanakuwa wanawafata popote waliowatoa bikra wakakumbushie hiyo na ni kiroho kabsa sawa wewe

Wakianza kuzeeka ndio wanaanza kupotezea so bikra ni kimwili na kiroho waulize waliooa bikra watakuelekeza kitu

Ndio maana Mungu kaamrisha tusishiriki tendo mpaka tufunge ndoa, umeshindwa hata kumuelewa Mungu, mtu mgumu sanaa wewe
Kiroho? Una ushahidi gani kuhusu Hilo.. we ukioa bikra mke wako anaweza liwa nje na Kama we boya huna maendeleo huna akili huna kitu kitandani unaachwa na hupewi Tena. Watu wapo serious na mambo ya msingi we unawaza shimo tu. Shimo litalisha familia, litatunza watoto, litakushauri maendeleo, acha dhana potofu tumia akili ulizozaliwa nazo mkuu
 
Kiroho? Una ushahidi gani kuhusu Hilo.. we ukioa bikra mke wako anaweza liwa nje na Kama we boya huna maendeleo huna akili huna kitu kitandani unaachwa na hupewi Tena. Watu wapo serious na mambo ya msingi we unawaza shimo tu. Shimo litalisha familia, litatunza watoto, litakushauri maendeleo, acha dhana potofu tumia akili ulizozaliwa nazo mkuu
👏👏
 
Mzee kama ulikosea wewe usidhani kila mtu atakosea kama ww Chief

Nenda kajizolee majosho ya wanaume wenzako
Mbona unakimbilia kusema ujinga. Hujawahi fanya mapenzi hujui tofauti ya demu bikra na sio. Hujui kitu so usiongee kwa hisia. Watu si wasingeoa Kama shida ni bikra. Dunia ya 2023 sio ya watu kutembea jangwani na mitume kuoa watoto wa miaka 6, dunia ya saa hivi unaishi kiakili na maendeleo. Ndo maana waswahili hamuendelei. Sawa umeona bikra huko tanga nyumba ya makuti watoto walala hoi mama Hana kazi Wala elimu Sasa unajisifia tu ujinga kumbe huna lolote.
 
Spiritually hii statement yako it has an outstanding significance.

Kuoa mwanamke bikra ni muhimu sana.

Shukrani sanaa mkuu

Wengi waliokosea ndio wanajitahidi kuthibitisha hapa kama hawakukosea, ukweli ni kwamba kama alilala na wanaume 17 au 25 tangu atolewe bikra na wewe ukija kumuoa hapo bahati yako ilichezea na watu wa idadi hiyo

So Bahati yako ilipita mikononi kwa watu wa idadi hiyo so ushukuru watu wote hao wasiwe na chochote cha kitamaduni kwao yaani nguvu za kitamaduni

Bila ya hivyo unakuwa una chombo cha kupitishia mtoto wako na kuhifadhi kina ubaya ndani yake ndio maana watu wanazaa watoto hawasikii , wezi, vichangudoa nk
 
Kiroho? Una ushahidi gani kuhusu Hilo.. we ukioa bikra mke wako anaweza liwa nje na Kama we boya huna maendeleo huna akili huna kitu kitandani unaachwa na hupewi Tena. Watu wapo serious na mambo ya msingi we unawaza shimo tu. Shimo litalisha familia, litatunza watoto, litakushauri maendeleo, acha dhana potofu tumia akili ulizozaliwa nazo mkuu

Mtoa mada usihangaike kumjibu anaekupinga kwenye hili kwani wapingao washashikishwa aka kupigwa aka kuuziwa vamba aka kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Back
Top Bottom