Siku hizi bikira ni yule ambae hajawai toa mimba
Utamjuaje Sasa KatoaHakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe
Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Ukimuuliza akutajie faida ya bikra hajui chochote🚮🚮Na wewe je bikra unayo au ndo mwenzangu na sie?
Tafuta hela upunguze lawama na malalamikoSijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sana na ni mzembe
Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used, wewe ndio uanze kumtumia
Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee
Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua
Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord
Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!
Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra
View attachment 2704135
Aaah kmk...skia umeishia la ngapi. Yaani umejaa ushirikina mkiambiwa msome hamtaki. Basi unasimu una mitandao ma AI kibao yatumie basi uelimike. Umeulizwa umri hutaki kuonekana kubwa bwege unazunguka tu. . Mambo ya disabilities si Mambo ya genetics, we ungekuwa kipofu bac kama hivi...hebu tumiaga bac akili waswahili kila kitu mnawaza uchawi ndo maana hamuendeleiShukrani sanaa mkuu
Wengi waliokosea ndio wanajitahidi kuthibitisha hapa kama hawakukosea, ukweli ni kwamba kama alilala na wanaume 17 au 25 tangu atolewe bikra na wewe ukija kumuoa hapo bahati yako ilichezea na watu wa idadi hiyo
So Bahati yako ilipita mikononi kwa watu wa idadi hiyo so ushukuru watu wote hao wasiwe na chochote cha kitamaduni kwao yaani nguvu za kitamaduni
Bila ya hivyo unakuwa una chombo cha kupitishia mtoto wako na kuhifadhi kina ubaya ndani yake ndio maana watu wanazaa watoto hawasikii , wezi, vichangudoa nk
Jamaa jau huyu yaani ka mtotoUkimuuliza akutajie faida ya bikra hajui chochote🚮🚮
Bora uoe aliyechachuka akupe mechi za kibabe
Bikra na uterus vinahusianaje...kwani kaharibu mimba au...mbona unaongea ujinga mtandaoni jamani kubwa zima.Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe
Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Na ni mtoto kweli kuna uzi alifungua anatafuta jimama la kizungu limleeJamaa jau huyu yaani ka mtoto
Umekua tajiri kisa bikra mkuu?Kijana umepiga kwenye mshono hauwezi kuungwa mkono wengi sanaa wanaoa wanawake ambao sio mabikra so hauwezi kupata rafiki Kwa huo uzi uliojaa ukweli ndani yake
Sisi tuliooa bikra ndio tutatambua thamani ya bikra, hapo hakuna atakayejua thamani ya bikra wengi wanapata matapu tapu mkuu wanaoa nuksi ndio maana unaona kauli zao za kukutukana tu
Jitahidi uoe bikra dogo utakuja utajirike kama masikhara
🤣Afu Hana point anaongea upuuzi Kama mtu wa la nne katoka kutazama x kwenye simu ya kaka akeNa ni mtoto kweli kuna uzi alifungua anatafuta jimama la kizungu limlee
Tuelimishe basi, taja sababu za msingi za kuoa bikraKama haujaoa bikra hauwezi muunga mkono mtoa mada
Atoe hoja Hana hoja we huna hoja. Unaongea kwa fikra...unaulizwa Ina faida gani unakimbilia kusema watu. Mi sijaoa...so huwezi tumia hiyo card ya kunisema coz sijaoa so uje na hoja mbele yangu sio kelele na kuzungukaKama haujaoa bikra hauwezi muunga mkono mtoa mada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umemshirikisha hili suala mzee wako??
Basi na wewe kula mavi..ukishakula mavi faida utajionea mwenyewe..Nimepitia comment nimeona kuna wajinga wengi sanaa mkuu
Wewe kama haujaoa hakikisha unaoa bikra sina kingine cha kuongeza
Sio mtu wa kubishana bishana bila faida
Ukishapata kuoa bikra faida a umuhimu utajionea wewe mwenyewe kama na wewe wahitaji kubishana wapo humu wa kubishana nao
Hamna mkuu mbona nimeuliza kistaarabu tu.... Nataka nijue labda itanisaidia, sababu maalum yaani, ukiachana na mambo ya kishirikinaNimepitia comment nimeona kuna wajinga wengi sanaa mkuu
Wewe kama haujaoa hakikisha unaoa bikra sina kingine cha kuongeza
Sio mtu wa kubishana bishana bila faida
Ukishapata kuoa bikra faida a umuhimu utajionea wewe mwenyewe kama na wewe wahitaji kubishana wapo humu wa kubishana nao
Nitajie mataifa 20 ambayo huolewi bila bikra na niambie hio bikra imewaleteaje maendeleoWengi wanaomponda mtoa mada kuna somewhere wamekosea wanajitahidi kujitetea Kwa namna moja au nyingine
Kuna baadhi ya mataifa hauolewi kama sio bikra Na ukifatilia ni wana maendeleo sio ya kawaida
Baadhi ya makabila pia
Hana jibu huyo achana nae anajikoshaHamna mkuu mbona nimeuliza kistaarabu tu.... Nataka nijue labda itanisaidia, sababu maalum yaani, ukiachana na mambo ya kishirikina
Kuna kitu "muhimu" na "lazima" ...unavyovikazia shingo ni muhimu kufanyika hivyo ila sio lazima..Sasa aliyetoa mimba unamjuaje Kwa kumuona au umekuwa Yesu!!??Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe
Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Kijana umepiga kwenye mshono hauwezi kuungwa mkono wengi sanaa wanaoa wanawake ambao sio mabikra so hauwezi kupata rafiki Kwa huo uzi uliojaa ukweli ndani yake
Sisi tuliooa bikra ndio tutatambua thamani ya bikra, hapo hakuna atakayejua thamani ya bikra wengi wanapata matapu tapu mkuu wanaoa nuksi ndio maana unaona kauli zao za kukutukana tu
Jitahidi uoe bikra dogo utakuja utajirike kama masikhara