Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Siku hizi bikira ni yule ambae hajawai toa mimba

Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe

Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
 
Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe

Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Utamjuaje Sasa Katoa
 
Tafuta hela upunguze lawama na malalamiko
 
Aaah kmk...skia umeishia la ngapi. Yaani umejaa ushirikina mkiambiwa msome hamtaki. Basi unasimu una mitandao ma AI kibao yatumie basi uelimike. Umeulizwa umri hutaki kuonekana kubwa bwege unazunguka tu. . Mambo ya disabilities si Mambo ya genetics, we ungekuwa kipofu bac kama hivi...hebu tumiaga bac akili waswahili kila kitu mnawaza uchawi ndo maana hamuendelei
 
Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe

Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Bikra na uterus vinahusianaje...kwani kaharibu mimba au...mbona unaongea ujinga mtandaoni jamani kubwa zima.
 
Umekua tajiri kisa bikra mkuu?
 
Basi na wewe kula mavi..ukishakula mavi faida utajionea mwenyewe..
 
Hamna mkuu mbona nimeuliza kistaarabu tu.... Nataka nijue labda itanisaidia, sababu maalum yaani, ukiachana na mambo ya kishirikina
 
Wengi wanaomponda mtoa mada kuna somewhere wamekosea wanajitahidi kujitetea Kwa namna moja au nyingine

Kuna baadhi ya mataifa hauolewi kama sio bikra Na ukifatilia ni wana maendeleo sio ya kawaida

Baadhi ya makabila pia
Nitajie mataifa 20 ambayo huolewi bila bikra na niambie hio bikra imewaleteaje maendeleo
 
Hakuna ukweli bikra zipo nyingi tu Chief, hao waliowahi kutoa mimba ndio usiguse kabsa kwani wameshaharibu sehemu ambayo mtoto wako mtarajiwa ataenda kupumzika kwa miez 9 ndio azaliwe

Kama haumpendi mtoto wako mtarajiwa nenda kaoe alieyetoa mimba
Kuna kitu "muhimu" na "lazima" ...unavyovikazia shingo ni muhimu kufanyika hivyo ila sio lazima..Sasa aliyetoa mimba unamjuaje Kwa kumuona au umekuwa Yesu!!??
 

Shukrani sanaa mkuu

Naona wengi hapa wanatukana tu bila sababu bado waseme yanayowasibu wanatupa matusi tu, asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…