Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

wapi Mungu kaamrisha uoe bikra?
 

Mahali ya msichana bikra haifanani na mwanamke mdangaji
 

Sijawahi kuwa mzinzi usiwe na hofu na mm
 
Mahari inahusiana nini?

Ndio thamani ya mtoto wa kike, asiye na bikra wanaolewa bure, usitoe chochote msichana kama ana bikra utatapeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…