Mimi nakwambia uhalisia Kama wewe unahisi umri ndio ukubwa au elewa kaa na umri wako
Wengi sanaa wakiwa mabinti wanaheshimu sanaa nani? Aliyembikiri nakwambia kitu ambacho kipo wewe tetea kitu kilicho ndani yako
Wanakuwa wanawafata popote waliowatoa bikra wakakumbushie hiyo na ni kiroho kabsa sawa wewe
Wakianza kuzeeka ndio wanaanza kupotezea so bikra ni kimwili na kiroho waulize waliooa bikra watakuelekeza kitu
Ndio maana Mungu kaamrisha tusishiriki tendo mpaka tufunge ndoa, umeshindwa hata kumuelewa Mungu, mtu mgumu sanaa wewe