SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Wewe huna demu hujui kitu..🤣🤣 inaonekana upo hovyo Sana kiakiliMwanzo mgumu atajua tu mauno huwa wana mafunzo kwenye mila na desturi zao anatakiwa akiolewa ndio aje ku kuonyesha nn! Aliambiwa aje afanye kwako
Ashaambiwa sanaUna umri gani kijana? Utakula bikra? Oa mwanamke mwenye akili na hekma acha ujinga
Sijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sana na ni mzembe
Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used, wewe ndio uanze kumtumia
Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee
Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua
Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord
Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!
Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra
View attachment 2704801
View attachment 2704135
Bas tulia na uboya wako usiambukize wengine Baki na dini yakoSisi kwenye familia yetu hatufundishwi uzinzi au dhambi tunaambiwa tukae mbali na dhambi yaani dhambi sio ya kuikimbilia
Tusiguse vitu ambavyo sio mali zetu, tusiwe wezi
Mwanamke sio gariKama ulikosea hakikisha watoto wako hawafanyi makosa ambayo wewe uliyakosea
Ujinga unaanzia hapo kupata used wakati unatakiwa umiliki kitu kipya
Wapo kibao wameoa bikra na walala hoi tu huko uswahili hamna chochote. Unaoa mwanamke hajasoma Hana chochote na we pia coz ni maskini unakimbilia bikra tu mwisho wa siku watoto wanazaliwa katika umaskini kisa akili za kingono tu. Bikra ni jambo la siku moja. Tafuta mwanamke wa kujenga nae familiaKama bikra ilikutoka hauna thamani popote palee kama msichana
Nenda popote aliye bikra ana thamani kuanzia kwenye mahali mpaka kujaliwa kama mke bora hauwezi ukawa umetolewa bikra na mtu tofauti na uolewe na mtu mwingine
Thamani ya mwanamke ni bikra kama hauna bikra wewe hauna thamani yeyote
Ulimuuzia mmeo mbuzi kwenye kiroba
UsitupangieUkweli unauma sanaa, hiyo ipo ki-UNGU kabsa chukieni lakini jamaa ameeka ukweli
Usioe kama msichana sio bikra
Na kikitokea utalaumu Nini? Maana bikra umeitoa wewe na bado umeibiwa.Nimekuelewa hapo kwenye kuoa bikra ni raha sana.. huko kwengine sio kitu ambacho nafikiria kinitokee
Wakosaji kutokana na niniNdio uliweke sawa
Anayetoa bikra na anayetolewa bikra bila ndoa wote wakosaji
Mimi sio mzinifu
🤣🤣🤣We ni muongo. Huna data kuprove hivyo. Hata mkeo akichepuka anaenda kwa mwingine sio lazma amfate aliyemtoa bikra miaka 20 iliyopita huko kijijini. Hii ni dhana potofu. Sasa bikra utunze kwani ni hela Ile. Watu wamekua kifikra as long as mtu amekuwa mwanamke kufanya mapenzi ni kitu Cha kawaida sheria za dini kipindi hicho mtu mwenye miaka 18 anaoa demu wa miaka 7 si ujinga huo...kisa manyege Yao. Saa hivi dunia imeendelea Kuna uhuru so it's pointless kusubiria miaka 40 ndo uoe mtoto wa miaka 14 kijijini kisa shimo lake familia yako itasomeshwa na bikra au.. ndo maana waswahili hawana maendeleoKama akiweza kutunza bikra ataweza kutunza na kuvumilia vingi kwenye ndoa, na kiuhalisia atakuwa bright kwenye kila jambo
Na kama kaweza kutoka bikra kabla ya kuolewa hakuna atakachoweza kukizingatia kwenye ndoa believe or not
Wanasababisha mvunjiko wa ndoa nyingi sanaa zinazoendelea kuvunjika sasa , anaamini yupo anayeweza kumkamua vizuri ambaye aliyemtoa bikra ndio maana wanavunja ndoa ovyo
Sheria inasemaje?Ukimfunza mwanao ubaya wa kutolewa bikra na mtu ambaye sio mme wake awezi kwenda kumvulia yeyote chupi yake
Wanaume wanajifanya wavunja sheria always so be care full na binti yako
We oa usitupangieEe bwana eh kutoa bikra nshatoa binti km tatu na nusu hv, Ila msimamo Ni ule ule nije kuoa m/mke aliyeko seald kbsaa ...mwanaume kuoa m/mke ambaye katumika Ni kujishushia hadhi Huko sasa nyie jipeni moyo tu et oh
*Wewe ni boya huna demu tuliaYeah kujitafakari muhimu, na wewe Kama uliharibu bikra za watu hakikisha usioe bikra maana mtatuharibia sisi ambao sio waharibifu
Na Wewe nipe andiko lililosema Mungu tuoe wanawake wasio mabikra
Vitabu vyote vinakataa uzinifu, zinaa uasherati, kipi sasa unataka ueleweshe kama haujawa mzinifu au mtu wa zinaa bikra itakutokaje?
Shoga anatengenezwaje?Siku wanaume wakimrudia mwenyezi Mungu wakajua kutumia nafasi zao walizopewa na Mungu; zinaa, ushoga, usagaji vitakua historia
Tatizo katika kuziacha nafasi zao wao ndio wanatoa bikra za wanawake,wanatengeneza mashoga na kuzalisha wasagaji
Halafu waowao ndio wanataka wakati wa kuoa waoe wanawake mabikra
Na hasemi umri wakeNavyokuona wewe ni muoga..lakini ubikra sio uaminifu wewe tengeneza njia wadau waje wapite kiurahisi. Mwanamke atatamani aonje za aina tofauti kama yako fupi atataka aonje na ndefu kama yako ni nyembamba atataka aonje na pana na kama unakibamia atataka aonje hogo la maana. Hivyo bikra ukishamfungua huwa wanacharuka sana tatizo wewe bado ni mdogo hujui kitu.
There is no such thing. Usiongee vitu ambavyo havina uhalisia ongea facts sio hisia...acha Imani za kishirikina...elimu ipoBecause sexual energy is power.
The strength of this power depends on whom you share your sexual energy with.✍️
Kama uliolewa bila bikra tunza za wanao
Hana elimu huyoNi kweli ni vyema kuoa bikra, na hayo makabila hata wanaume nao mpaka wanafikia kuoa kuna mambo wanakua wamekamilisha kimila.
Sasa wewe upo kwenye hilo kabila?? Bila shaka hulijui ila umesikia tu kua lipo hilo kabila!!
Kuna mdau hapo kasema ni kheri uoe mke mwenye tabia njema tu, hata mimi kwangu bikra sio kigezo kikuu.