Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Mwanzo mgumu atajua tu mauno huwa wana mafunzo kwenye mila na desturi zao anatakiwa akiolewa ndio aje ku kuonyesha nn! Aliambiwa aje afanye kwako
Wewe huna demu hujui kitu..🤣🤣 inaonekana upo hovyo Sana kiakili
 
Hapo kWa SINGO MAZA naungana na wazazi wako. Ukikaidi hata LAANA yangu ikufike pia
Sijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sana na ni mzembe

Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used, wewe ndio uanze kumtumia

Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee

Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua

Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord

Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!

Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra

View attachment 2704801

View attachment 2704135
 
Sisi kwenye familia yetu hatufundishwi uzinzi au dhambi tunaambiwa tukae mbali na dhambi yaani dhambi sio ya kuikimbilia

Tusiguse vitu ambavyo sio mali zetu, tusiwe wezi
Bas tulia na uboya wako usiambukize wengine Baki na dini yako
 
Kama bikra ilikutoka hauna thamani popote palee kama msichana

Nenda popote aliye bikra ana thamani kuanzia kwenye mahali mpaka kujaliwa kama mke bora hauwezi ukawa umetolewa bikra na mtu tofauti na uolewe na mtu mwingine

Thamani ya mwanamke ni bikra kama hauna bikra wewe hauna thamani yeyote

Ulimuuzia mmeo mbuzi kwenye kiroba
Wapo kibao wameoa bikra na walala hoi tu huko uswahili hamna chochote. Unaoa mwanamke hajasoma Hana chochote na we pia coz ni maskini unakimbilia bikra tu mwisho wa siku watoto wanazaliwa katika umaskini kisa akili za kingono tu. Bikra ni jambo la siku moja. Tafuta mwanamke wa kujenga nae familia
 
Kama akiweza kutunza bikra ataweza kutunza na kuvumilia vingi kwenye ndoa, na kiuhalisia atakuwa bright kwenye kila jambo

Na kama kaweza kutoka bikra kabla ya kuolewa hakuna atakachoweza kukizingatia kwenye ndoa believe or not

Wanasababisha mvunjiko wa ndoa nyingi sanaa zinazoendelea kuvunjika sasa , anaamini yupo anayeweza kumkamua vizuri ambaye aliyemtoa bikra ndio maana wanavunja ndoa ovyo
🤣🤣🤣We ni muongo. Huna data kuprove hivyo. Hata mkeo akichepuka anaenda kwa mwingine sio lazma amfate aliyemtoa bikra miaka 20 iliyopita huko kijijini. Hii ni dhana potofu. Sasa bikra utunze kwani ni hela Ile. Watu wamekua kifikra as long as mtu amekuwa mwanamke kufanya mapenzi ni kitu Cha kawaida sheria za dini kipindi hicho mtu mwenye miaka 18 anaoa demu wa miaka 7 si ujinga huo...kisa manyege Yao. Saa hivi dunia imeendelea Kuna uhuru so it's pointless kusubiria miaka 40 ndo uoe mtoto wa miaka 14 kijijini kisa shimo lake familia yako itasomeshwa na bikra au.. ndo maana waswahili hawana maendeleo
 
Ukimfunza mwanao ubaya wa kutolewa bikra na mtu ambaye sio mme wake awezi kwenda kumvulia yeyote chupi yake

Wanaume wanajifanya wavunja sheria always so be care full na binti yako
Sheria inasemaje?
 
Ee bwana eh kutoa bikra nshatoa binti km tatu na nusu hv, Ila msimamo Ni ule ule nije kuoa m/mke aliyeko seald kbsaa ...mwanaume kuoa m/mke ambaye katumika Ni kujishushia hadhi Huko sasa nyie jipeni moyo tu et oh
We oa usitupangie
 
Na Wewe nipe andiko lililosema Mungu tuoe wanawake wasio mabikra

Vitabu vyote vinakataa uzinifu, zinaa uasherati, kipi sasa unataka ueleweshe kama haujawa mzinifu au mtu wa zinaa bikra itakutokaje?

Wewe hutujui wanawake lakini unachonga sanaa mdomo humu JF hivi alikwambia nani kufanya ngono na mtu ni upendo waliokufundisha walikuongopea

Kwanza unanitoa bikira na kibamia chako nakutana na mzoa taka ana mjegeje ananyonyaa kila kona unafikiri nitakumbuka hicho kibamia chako

Naona unajitekenya tu mwwnyewe wanawake hutujui wewe unaishi kwa nadhariaa tu pole kijana mdogo
 
Siku wanaume wakimrudia mwenyezi Mungu wakajua kutumia nafasi zao walizopewa na Mungu; zinaa, ushoga, usagaji vitakua historia
Tatizo katika kuziacha nafasi zao wao ndio wanatoa bikra za wanawake,wanatengeneza mashoga na kuzalisha wasagaji
Halafu waowao ndio wanataka wakati wa kuoa waoe wanawake mabikra
Shoga anatengenezwaje?
Wasagaji wanazalishwaje?
Mbona unaongea upuuzi tu
 
Navyokuona wewe ni muoga..lakini ubikra sio uaminifu wewe tengeneza njia wadau waje wapite kiurahisi. Mwanamke atatamani aonje za aina tofauti kama yako fupi atataka aonje na ndefu kama yako ni nyembamba atataka aonje na pana na kama unakibamia atataka aonje hogo la maana. Hivyo bikra ukishamfungua huwa wanacharuka sana tatizo wewe bado ni mdogo hujui kitu.
Na hasemi umri wake
 
Because sexual energy is power.

The strength of this power depends on whom you share your sexual energy with.āœļø
There is no such thing. Usiongee vitu ambavyo havina uhalisia ongea facts sio hisia...acha Imani za kishirikina...elimu ipo
 
Kama uliolewa bila bikra tunza za wanao

Niwatunzie ili iwe nini uzuri mbinguni tunaenda na miili mipya hizo bikira wacha wanaume zao wazitafunee

Uzuri mwingine naona kila siku mishankupe ndio inaoolewa sasa sijui unamshauri nani asioe madungaembee

Sisi ndio tupo
 
Ni kweli ni vyema kuoa bikra, na hayo makabila hata wanaume nao mpaka wanafikia kuoa kuna mambo wanakua wamekamilisha kimila.
Sasa wewe upo kwenye hilo kabila?? Bila shaka hulijui ila umesikia tu kua lipo hilo kabila!!

Kuna mdau hapo kasema ni kheri uoe mke mwenye tabia njema tu, hata mimi kwangu bikra sio kigezo kikuu.
Hana elimu huyo
 
Back
Top Bottom