Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nichunguze bikra ya mwenzangu, kwani mie alinikuta bikra.. mie mwenyewe kama ingekuwa ni penseli, ungekuwa umebaki ufutio tu..

Una mjudge mtu kuanzia hapa mlipo kwenda mbele, mengine ni kutafuta matatizo tu.
Kweli.
 
Kwa hiyo sisi tufanyeje? Mbona waliowatoa bikira wake zao tunawagongea huku mtaani? Ni maswali ya kijinga hayo! Hata ukimjua haikusaidii!
 
Swali lako siwezi jibu kwasababu sijawahi mbikiri mtu.
Waulize wengine watakuwa na majibu sahihi.
Ila kuna marafiki zangu wa kike tokea secondary wanasema hivyohivyo hawawezi sahau huyo mtu, wengine walitamani sana waolewe nao ila ndo hivyo.
yaani namaanisha, kwanini wanaume kufanya ngono kabla ya ndoa huonekana ni sawa?πŸ˜‚
 
No. 7 ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…