Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Uko sahihi.
 
Binadamu wanahangaika hangaika mwisho wana Reverse the order
TENDO la Ndoa ajabu hujaolewa una mpa mtu uchi afungue geti .....Hadi hapo huyo ndio mmewe.

Endeleeni kuoa wake za watu.
 
Kama ameweza jiulize alijifunza wapi?
Wanafanana, kimatendo wanaendana, kati yao pana pana kumbukumbu, historia imetulia,
jiulize ni ipi nafasi yako, maana mshindani wako angalipo...
Your browser is not able to display this video.
 
Labda kuna ukweli lakini sio wote wanapitia huko.Wa kwangu nilizindua mwenyewe,tunapenda ingawa changamoto hazikosekana
Nadhani kuna ukweli juu ya story hiyo,nikisikia watu wanavyohangaika na wake zao nashangaa pia,lakini mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida
Mwanamke kuwa na memory ya usichana na umama ni jambo kubwa sana,wenyewe watasema kama wataweka pembeni unafiki.
Sijawahi nunua nguo zangu Wala viatu miaka mingi,lahazizi wangu anatake care vyote.
Labda niseme ni bahati,unaweza ukapata mke mzuri hata kama hukumtoa bikira yake.
 
Unathamini sana maku mbona Kuna mengi ya muhimu kuliko maku Wazanzibar wanaoa wanawake bikra na Bado wanatombewa na kufiriwa sasa Kuna unafuu gani usiipe umuhimu hiyo kitu kwa mkeo akiliwa na ma x wake maku itaondoka au itayeyuka wivu wako elekeza kwenye maokoto sio kwenye papa inayovuja damu kila mwezi..
 
Comment bora sana.
Wekeza kwa Mungu na maokoto.

Hasahasa Mungu , yaani ukiwekeza muda na nguvu kwake, hutojuta.
 
Natamani wewe ndo ungekuwa mhusika ambaye umetolewa bikra tongejua ukweli halisi toka kwa mtendewa
 
Hapa nmekuelew sana hatal huo ndo ukwel usiopingika kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…