Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Kibaya Kila Mwanaume anatamani aoe mwanamke wa Aina hiyo ila wakati Huo huo Tunaona Jinsi watu wanajisifia Kuzitoa Hizo kwa mabinti wadogo wadogo. Na tena Kibaya zaidi wengi humu wanawasifia na kuwapa hata mbinu.
 
Wewe hutujui wanawake lakini unachonga sanaa mdomo humu JF hivi alikwambia nani kufanya ngono na mtu ni upendo waliokufundisha walikuongopea

Kwanza unanitoa bikira na kibamia chako nakutana na mzoa taka ana mjegeje ananyonyaa kila kona unafikiri nitakumbuka hicho kibamia chako

Naona unajitekenya tu mwwnyewe wanawake hutujui wewe unaishi kwa nadhariaa tu pole kijana mdogo
Hana demu alafu achana nae hata kiss hajawahi pewa...aangalie movie tu na x
 
Sisi kwenye familia yetu hatufundishwi uzinzi au dhambi tunaambiwa tukae mbali na dhambi yaani dhambi sio ya kuikimbilia

Tusiguse vitu ambavyo sio mali zetu, tusiwe wezi

Kwaiyo wewe bikira[emoji23]
 
Mawazo yako tumeyasikia blaza.
Tunakutakia kila la kheri wewe na huyo bikra wako
 
Mahari inahusiana nini?
Mi namshangaa, we demu la kiswahili huko uswazi ana miaka 20 ana bikra kaishia la Saba na demu mzuri wa ushuani anaelimu mpaka masters ana kazi nzuri unategemea nani atakuwa na mahari kubwa. Watu wanaangalia maendeleo ya familia...hivyo vishimo vipo tu
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Ndio thamani ya mtoto wa kike, asiye na bikra wanaolewa bure, usitoe chochote msichana kama ana bikra utatapeliwa
Acha uwongo... nikupe demu ambae sio bikra ana miaka 30 ana elimu ya masters na mshahara wa million 2 kazini afu tuone hata Kama utanusa harufu yake. Acha umaskini wa kifikra na Mila potofu za kale
 
Ata asipoapata jibu, hatuoi wasio na bikira full stop hatutaki kuzunguka zunguka hii sio hoja ya kuitetea
🤣🤣🤣Huna hoja ndo maana unazunguka ka chizi...hujatoa hoja ya msingi hapa.. nasubiria
 
View attachment 2704779
Usomege maandiko Kama ni mkristo.
Na wewe huruhusiwi kuvaa nguo zenye material tofauti. Huruhusiwi kufanya kazi yoyote jumamosi hata kuchota maji, huruhusiwi kula shellfish...unatakiwa uwapige mawe mashoga na wanaofanya mapenzi kabla ya ndoa, na mtoto akimtukana mzazi unabidi umpige mawe. Si unajua Biblia Sana, mbona sheria hizi huzifati?
 
Hivi hawa mabinti wanaotolewa bikira wakiwa na miaka 12 hadi 10 kweli utapata bikira wakifika miaka 20 na kuendelea
 
Sijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sana na ni mzembe

Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used, wewe ndio uanze kumtumia

Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee

Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua

Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord

Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!

Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra

View attachment 2704801

View attachment 2704135
Yatukane tu Mwayego wee!!
Maana hayaelewagi mwaya.
 
Hivi hawa mabinti wanaotolewa bikira wakiwa na miaka 12 hadi 10 kweli utapata bikira wakifika miaka 20 na kuendelea
Ndo maana mtume Muhammad alioa mtoto wa miaka 6 na kumla Akiwa na 9. Tamaa za bikra zinapelekea muoe watoto na watu wasio na akili na maendeleo.
 
Back
Top Bottom