Assumptions kwenye comment yako ni kwamba: -Wapo kibao wameoa bikra na walala hoi tu huko uswahili hamna chochote. Unaoa mwanamke hajasoma Hana chochote na we pia coz ni maskini unakimbilia bikra tu mwisho wa siku watoto wanazaliwa katika umaskini kisa akili za kingono tu. Bikra ni jambo la siku moja. Tafuta mwanamke wa kujenga nae familia
1. Lengo kuu la ndoa ni kujikwamua na ulala hoi
2. Kila bikra hajasoma
3. Wasiokuwa bikra ndo waliosoma na wenye maisha mazuri
4. Kuoa bikra ni starehe ya siku moja
Wewe unahitaji darasa kubwa sana ili kuelewa kwanini wanawake wameumbwa wakiwa na bikra tofauti na wanaume tulivyoumbwa. Ni ukweli usiopingika kwamba jamii yetu imeharibika sana kwasasa kiwango cha hao mabikra kuwa wachache katika umri wa kuolewa. Lakini hatujachelewa kuijenga jamii bora ya kesho kwa kuwaongoza mabinti zetu wajichunge.
Mbona wazanzibari na wapemba wapo bikra wengi tu? wao wanawezaje?