Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Kama hujaoa mwanamke mwenye mavigimbi kama Aziz Ki na Komwe.We umepata hasara taslimu.
 
Kama bikra ilikutoka hauna thamani popote palee kama msichana

Nenda popote aliye bikra ana thamani kuanzia kwenye mahali mpaka kujaliwa kama mke bora hauwezi ukawa umetolewa bikra na mtu tofauti na uolewe na mtu mwingine

Thamani ya mwanamke ni bikra kama hauna bikra wewe hauna thamani yeyote

Ulimuuzia mmeo mbuzi kwenye kiroba

Uthamani wa mtu upo machoni pa mtu husika

Aya niambia bikra analipiwa mahali bei gani na used bei gani

Nina cousin wangu Kao mtoto wa watu tena ana mtoto mmoja na mahari walitakiwa watoe milion 7 (usibishe huyo binti Baba ake ni mtu mkubwa serikalini) na baba ake aliwaambia ndugu zetu kuwa hata Kama mtoto wake ni single mother anayo haki ya kuolewa na mwanaume mdhuri na thamani yake haijashuka et kwa vile wamezaa hiyo mahari ililipwa japo siyo yote ila ni zaidi ya 5 millions


Unaposema et bikira analipiwa mahali nyingi unamaana gani?? Maana wanaume wa Jf wakiambiwa watoe million 1 tu wanaona nyingiii…

Mfano mwingine nakupa ndugu zangu wengi tu tumewaozedha na si bikra na mahali zao si chini ya million 3
Okay huyo bikira ulitaka kumpa million 20[emoji23][emoji23][emoji23]

Mnapata bikira mnatoa mahali laki 8 wengine mwatoa msaafu na mbuzi mbilii

Achana na suala la mahali leta hoja faida ni ipi ili niwatunzie watoto wangu maana kwenye mahali umefeli
 
Mahali ya msichana bikra haifanani na mwanamke mdangaji

Tuambie mahali ya bikra tuamini unachosemaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sana sana ukijitahidi ka milion 2 ambayo ni ungemlipa MC Gara B aje akushehereheshe……….
 
Ndio thamani ya mtoto wa kike, asiye na bikra wanaolewa bure, usitoe chochote msichana kama ana bikra utatapeliwa

Akili yako uichunguzee nani anaolewaga bure ulisikia wapiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama kuna yeyote hapa gari yake ya kwanza ni mpya kabisa sio used anyooshe mkono alafu mjadala unoge. Namaanisha zero kilometres!
 
Bikra ilikutoka ukiwa na miaka 7 nini? Mbona umechukulia seriously sanaa

Mleta mada anawatia changamoto tu hayupo seriously wala nini! Msichukie sanaa

Maana umechukia kama mleta mada ndio kakutoa bikra maana ungemjua ungemfungulia kesi unaona kama anawadhalilisha wanawake

Take it normal

Ilinitoka na Miaka 2 vipi unataka unipe yako
 
Ah ah ah ah

Wengine hawajazaliwa na bikra koo zao zina laana mkuu hapa naonekana kama nakosoa watu, pengine ni mwanamke ila bikra anaisikiaga tu Kwa wanawake wengine pengine alikeketwagwa ikatoka au alibakwakwa na wajomba zake watu wa vijijini si unajua kila mtu anajipigia tu ndani ya ukoo wao

Mtu huna demu si utakuwa hanisi haisimamiii au ikisimama haipenyi [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Natania
 
Assumptions kwenye comment yako ni kwamba: -
1. Lengo kuu la ndoa ni kujikwamua na ulala hoi
2. Kila bikra hajasoma
3. Wasiokuwa bikra ndo waliosoma na wenye maisha mazuri
4. Kuoa bikra ni starehe ya siku moja

Wewe unahitaji darasa kubwa sana ili kuelewa kwanini wanawake wameumbwa wakiwa na bikra tofauti na wanaume tulivyoumbwa. Ni ukweli usiopingika kwamba jamii yetu imeharibika sana kwasasa kiwango cha hao mabikra kuwa wachache katika umri wa kuolewa. Lakini hatujachelewa kuijenga jamii bora ya kesho kwa kuwaongoza mabinti zetu wajichunge.

Mbona wazanzibari na wapemba wapo bikra wengi tu? wao wanawezaje?

Wanatoa nyuma vipi na bara tutoe nyuma mbele zibaki
 
Kama unavyomgundua ambaye aliyewahi kubikiriwa, tatzo approach ya wengi wetu ni sex kabla ya ndoa ndio maana

Ila kama utakuwa mkweli utapata vya kweli
Mmmmh we mwongo kutongoza leoleo kula leoleo🤣
 
Unakubali uhalisia halafu unaukataa bila msingi, we unadhani mtoto aliyelelewa kimaadili na aliyelelewa kishenzi yupi yupo more likely kuwa na maadili?
Elewa hoja. Hoja yangu ni kuwa bikra haitoshi kushikilia ndoa ila ni kiashiria kuwa mwanamke amelelewa kwa maadili.
Ni kama unasema kutarajia mtoto wa kiume au wakike kwa mwenye ujauzito sio lazima coz pia huzaliwa watoto wenye jinsia zote! ..... reallly??? u r ignoring the more likeliest for a smmallest possibility.
Sijalinganisha popote bikra na asiye bikra. Nimesema sio guarantee pekee ya kuwa na ndoa itakayodumu sababu ni nguzo moja nyembamba kati ya nguzo nyingi pana zinazoshikilia ndoa.
Kama ni hivo basi na wewe pia kesho usiende kazini sababu barabarani watu hugongwa na magari.

Kama hujaelewa mpaka hapa endelea kuzungumza hili suala na wengine.
 
Back
Top Bottom