Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bikra ilikutoka hauna thamani popote palee kama msichana
Nenda popote aliye bikra ana thamani kuanzia kwenye mahali mpaka kujaliwa kama mke bora hauwezi ukawa umetolewa bikra na mtu tofauti na uolewe na mtu mwingine
Thamani ya mwanamke ni bikra kama hauna bikra wewe hauna thamani yeyote
Ulimuuzia mmeo mbuzi kwenye kiroba
Kama ni Mwanamke ilitunguliwa kabla hujaolewa na now ni single mother ndo mana unaleta makasiriko na kama ni Mwanaume basi ulioa mwenye tundu kama la Ozone Layer mkuuNiambie bikra inasaidia Nini
Mahali ya msichana bikra haifanani na mwanamke mdangaji
Ndio thamani ya mtoto wa kike, asiye na bikra wanaolewa bure, usitoe chochote msichana kama ana bikra utatapeliwa
Hakuna kuoa msichana kama hana bikra
Bikra ilikutoka ukiwa na miaka 7 nini? Mbona umechukulia seriously sanaa
Mleta mada anawatia changamoto tu hayupo seriously wala nini! Msichukie sanaa
Maana umechukia kama mleta mada ndio kakutoa bikra maana ungemjua ungemfungulia kesi unaona kama anawadhalilisha wanawake
Take it normal
Ah ah ah ah
Wengine hawajazaliwa na bikra koo zao zina laana mkuu hapa naonekana kama nakosoa watu, pengine ni mwanamke ila bikra anaisikiaga tu Kwa wanawake wengine pengine alikeketwagwa ikatoka au alibakwakwa na wajomba zake watu wa vijijini si unajua kila mtu anajipigia tu ndani ya ukoo wao
Assumptions kwenye comment yako ni kwamba: -
1. Lengo kuu la ndoa ni kujikwamua na ulala hoi
2. Kila bikra hajasoma
3. Wasiokuwa bikra ndo waliosoma na wenye maisha mazuri
4. Kuoa bikra ni starehe ya siku moja
Wewe unahitaji darasa kubwa sana ili kuelewa kwanini wanawake wameumbwa wakiwa na bikra tofauti na wanaume tulivyoumbwa. Ni ukweli usiopingika kwamba jamii yetu imeharibika sana kwasasa kiwango cha hao mabikra kuwa wachache katika umri wa kuolewa. Lakini hatujachelewa kuijenga jamii bora ya kesho kwa kuwaongoza mabinti zetu wajichunge.
Mbona wazanzibari na wapemba wapo bikra wengi tu? wao wanawezaje?
Kama kuna yeyote hapa gari yake ya kwanza ni mpya kabisa sio used anyooshe mkono alafu mjadala unoge. Namaanisha zero kilometres!
Mmmmh we mwongo kutongoza leoleo kula leoleo🤣Kama unavyomgundua ambaye aliyewahi kubikiriwa, tatzo approach ya wengi wetu ni sex kabla ya ndoa ndio maana
Ila kama utakuwa mkweli utapata vya kweli
Kitu kipya Uzi mpya wewe mpyaaaa🤣🤣Watoe wapi gari mpya hawa si wote hununua used
Dah tabu tupuWatoe wapi gari mpya hawa si wote hununua used
Elewa hoja. Hoja yangu ni kuwa bikra haitoshi kushikilia ndoa ila ni kiashiria kuwa mwanamke amelelewa kwa maadili.Unakubali uhalisia halafu unaukataa bila msingi, we unadhani mtoto aliyelelewa kimaadili na aliyelelewa kishenzi yupi yupo more likely kuwa na maadili?
Sijalinganisha popote bikra na asiye bikra. Nimesema sio guarantee pekee ya kuwa na ndoa itakayodumu sababu ni nguzo moja nyembamba kati ya nguzo nyingi pana zinazoshikilia ndoa.Ni kama unasema kutarajia mtoto wa kiume au wakike kwa mwenye ujauzito sio lazima coz pia huzaliwa watoto wenye jinsia zote! ..... reallly??? u r ignoring the more likeliest for a smmallest possibility.
Kama ni hivo basi na wewe pia kesho usiende kazini sababu barabarani watu hugongwa na magari.
Bikra ya eneo gani?