Mkuu ikichukua mwaka haitaniuma ila week 3 itaniuma sana mkuuUkisikia anaolewa? Utaweza kuhandle? Hakikisha maswal hayo unajijibu huku ukiwa huna maumivu. Ukioa huto mkumbuka, mkikutana huko mbeleni hamtaharibiana ndoa ambayo kila mtu naingia? Kwani ukisimama Kama mwanaume na kumpa msimamo Wako kuwa usipo badirika tuna achana , halafu umwangalie atafanyaje . Ndugu mapenz ni mazuri Sana ukipatia, na ni mabayaaaa Sana ukikosea
Miaka 15 unakula mbususu babu miaka 15 nilikuwa darasa la pili mzee 🤣Mkuu ulichelewa sana aisee 15 tu tayali
Halafu kumblock mtu ni utoto, futa number Tu unatosha, kuza akili hapoMkuu 2016 to 2025 sio rahis hatujawai kukwazana hata siku moja wala kutupiana maneno
Nmekukubal sababu unamsimo ingawa sio rahis kumsahau ila utazoeaSa hihi mkuu japo na mm ni mtumishi lkn ile kauli ya mama mkwe huenda ni watu wanapenda u fahari kweli hta hivyo mimi mwenyewe sio kinyonge na nyumban pia kupo bomba sana japo sio mboga saba
Weeee hujapenda, watu wanatembea na watu miaka na miaka, . Muombe Mungu Tu. Akili Zako huwezi kabisa, mapenzi ni kitu kingineMkuu ikichukua mwaka haitaniuma ila week 3 itaniuma sana mkuu
Aombe Tu wasikutane, wakikutana huyu sijui Kama atawezaNmekukubal sababu unamsimo ingawa sio rahis kumsahau ila utazoea
Ndo maana siku hizi unalala na wake za watuMapenzi yanauma kichizi hichi kikombe omba kikuepuke au uki experience mapema maana sio mchezo kama utachelewa .roho inauma unaweza pata hata shinikizo la damu na kama Hujawah experience heartbreak basi usitukane mamba kama mimi nilivyo kuwa nikifanya
Nikikumbuka my teenage old days nacheka kwakweli
Walokole sikuhiz wapo hadi kkkt, Anglican, RC, na utaikuta hao EAGT wenyewe wapo huko na sio walokoleUpo hao TAG EAGT PENTECOST NI WALOKOLE AFU LUTHERAN ROMA ANGLICAN NA MORAVIAN
Hawezi kukosa, anaeVumilia siku tano tu, atakuwa na Bwana mpya
Wee usitafute Sababu za uhamisho, sema Tu umeamua, uhamisho watu wanahama tuHeee mkuu nimempenda sana lkn kwanza uhamisho tu ni issue
Mkuu hata mama yake ni single mother hawa watoto wa ma single maza mama zao huwalisha sumu watoto kwa baba zao mpaka kwa waume zaoYote tisa demu wangu siku amemaliza diploma with 21 of age mwakajana nikampigia simu mama yake! Siku moja maza akaanza kanyoosha mwanangu ameniambia anataka aunge degree
Sitaka akae abweteke mwishowe aishie kuolewa(🤔remind you mother hajui kama Nina mahusiano na huyo binti)
Siku moja binti akaniambia kuolewa labda afikishe miaka 28😁nilicheka kimoyo moyo (hajui alisemalo)
End mother ake hajawah kuolewa sahv anaitafuta 50
Hitimisho,maneno ya mama kwa mtoto wake yananguvu, wewe usitufanye sisi watoto demu unampenda Ila ishi maneno yako
Single mother watoto wa kulelewa na single mother ni noma mkuu mama anavisha mtoto anaonaAlipata 3 na zaidi kwahyo anayo qualification ya kuproceed mbele sahv Kako degree, naona anajipost tu tako mtandaoni,
Sasa siku moja mwanangu nimechill mwanangu kaniletea video demu anatoka guest na mzee ambaye kwangu ni baba kwake ni babu🤔duh nikasema afadhali nilimpiga chini