jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Kweli mkuu awe makini wengi wao wanatumia Madawa ya kishirikina ili kuwapumbasa Vijana ili wawalee watoto waoUsioe utajuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu awe makini wengi wao wanatumia Madawa ya kishirikina ili kuwapumbasa Vijana ili wawalee watoto waoUsioe utajuta
VIP ss tulio zalisha je wake zetu hawna hofu ya kumtafuta mama wa totoOa lakini huwa ni wagumu kusahau baby daddies hao mzee. Kama huogopi hlo oa.
Ongea kwanza na baba yako mzazi, hakikisha kabisa ndiye baba aliyempa mama yako mimba ukazaliwa wewe .sisi tukisema utasema wanaume wa JF tunawivuHabari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
Hmna shidaVIP ss tulio zalisha je wake zetu hawna hofu ya kumtafuta mama wa toto
😂😂😂😂Nimecheka mamaangu alipanga gari toka mbagala kwenda makumbusho mvua Ilikuwa inanyesha waliloa utasema wapo nje🤣🤣🤣Huwa napanda gari za Mbagala. Siyo poa yaani! 😁😁😁
Watazima TANESCOwa mwisho kutoka duniani asisahau kuzima taa, 🙂
Mkuu kama ni waislamu kweli shinda hupungua kuliko sisi wakristononi. Ukweli mchungu nibkwamba kwenye kila nyanja waislamu wamenyooka sana, sio kwenye suala la uaminifu wa biashara, kazi, dini na hata ndoa.Lakin mbona Waislam wao wanaoa tu mwanamke mwenye mtoto bila kujali chochote, Wanzanzibar wao Wanao tu hawa Angalii mwanamke kazalishwa au haja zalishwa,Mimi nilishangaa kijana wakiume wa miaka 26 anaoa mwanamke mwenye watoto watatu kweli tembea uone maajabu ya Dunia.
Huwa ninatamani nijue umri wa watu humu. Hizi comment siyo za watu wenye akiliHakikisha anakuonesha kaburi la mwanaume wake wa Kwanza
Huu usemi nimeusikiaga hapa hapa jamvini
We acha tu mpwa. Mpaka nimewaza huyo mwanamke aliyechakazwa kama gari za Mbagala huko ikuluni kwake kutakuwa na hali gani jamani maana gari za Mbagala wallahi siyo poa! 😁😂😂😂😂Nimecheka mamaangu alipanga gari toka mbagala kwenda makumbusho mvua Ilikuwa inanyesha waliloa utasema wapo nje🤣🤣🤣
Huwa napanda gari za Mbagala. Siyo poa yaani! [emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo kwa kizungu anaitwa maza single...Habari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
mtoto hana tatizo kabisa ila jiulize kwann aliemzalia mtoto wa kwanza hajaolewa nae ili ww uje uishi nae usumbufu upo na hisia za nyuma zipo hasa wanapozaa kiepusha shida maishani oa mwanamke asie na mtoto mambo yasiwe mengi.....Kwani mtoto wa miaka 6 atakupa shida gani? Katika maisha yako hautalea ndugu na jamaa katika dunia hii? Oa kwani akizaa anabadilika nini? Kuna watu hawana watoto wametumika zaidi ya gari za mbagala.
🤣🤣🤣HatariWe acha tu mpwa. Mpaka nimewaza huyo mwanamke aliyechakazwa kama gari za Mbagala huko ikuluni kwake kutakuwa na hali gani jamani maana gari za Mbagala wallahi siyo poa! 😁
Natumaini mwaka mpya unaendelea vyema mpwa. Ubarikiwe sana!
Issue sio kutumikaKwani mtoto wa miaka 6 atakupa shida gani? Katika maisha yako hautalea ndugu na jamaa katika dunia hii? Oa kwani akizaa anabadilika nini? Kuna watu hawana watoto wametumika zaidi ya gari za mbagala.
Da'VinciHabari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
Huyo aliyeshauri kuhusu kuoa kama mtoto ni wa kike itakuwa ana lengo la jamaa akile kuku ma mayai yake 🤣🤣🤣🤣🤣Afadhali umenisaidia kuuliza: kwanini ni watamu zaidi ya hawa ambao hawajazaa.
Mwisho nimpe ushauri kijana kama kamuelewa aoe tu.
Kuna mtu kamshauri hapo juu aoe kama mtoto ni wa kike.
😂😂😂 Katoto Cha miaka 6 no way.Huyo aliyeshauri kuhusu kuoa kama mtoto ni wa kike itakuwa ana lengo la jamaa akile kuku ma mayai yake 🤣🤣🤣🤣🤣