Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Wasikutie kinyongo wala kukukatisha tamaa watu wa humu, hongera sana na Inshallah Mwenyezi Mungu amjaalie awe mtoto wa kheri na upate wengine pia.
 
Na
Nikweli mkuu
 
Hiyo paragraph ya mwisho ndo nimeielewa mkuu, hayo mengine ni ujinga mtupu.
 
Dah!
 
Nilikua naitafuta hii comment.
 
mshukuru Mungu wa kweli, usimshukuru huyo mungu wa kiarabu. pia, subiri akue, sitaki kukukatisha tamaa. punguza munkari. sitaki kufafanua zaidi ya hapo ila mshukuru Mungu kwa ajili ya mkeo pia.
Mungu wa kweli ni yupi? Mbn unakuw mshamba mshamba mdgo angu karne ya 21 unamlazimisha mtu kuamini kitu unachoamini wewe, umelewa ??
 
Pole mkuu inaonekana ndugu wamekuumiza sana. Mkeo hawezi kamwe kuwa ndugu yako, yeye atabaki kuwa mke wako. Hivi viumbe vikifika miaka 45 vinaanza KUPIGANIA UHURU!
 
True yaan chukia nduguzo wote ila sio wazazi wako never usifanya ivo
 
Hongeraaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…