Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

vip tako analo? au umeadhilikia mifupani
 
Uliachaje kumshushia kupigo cha mmbwa nwitu, huyo sio mtu mzr kbs
 
Siruki hovyo ila moja ya gonjwa siliogopi ni HIV.. yani siliwaziii kabisaa..

Najilinda Afya yangu kwasababu nimeshajijengea utaratbu huo wakuwa makini na afya yangu lakini sio kwamba najilinda kisa naogopa HIV.

incase it happens,nadunda nayo nafata mautaratbu yao basi life goes on but siliogopi.
 
nje ya mada

starehe ni ya feruzi amemshirikisha prof j
Saa saba juu ya alama/
Saa nikiitazama/
Nimeshaachana na Jaki sasa namfuata salama/

Saa kumi na mbili/
Nina appointment na mademu wawili/
Achana na lili/
Ambaye tutakutana saa mbili/

Mleta mada punguza presha kama umeanza PreP mapema mambo yatakuwa mazuri, na pia kama bidada yuko kwa dozi kwa usahihi bado uko safe
 
Tumieni Kinga ,mambo si shwari uku,Kuna siku nilipima na bidada kipimo kikasema + akaenda hospital kipimo kipo - Sasa sielewi hapo shida ni vipimo vinadanganya au nn,
 
Aseee huu Uzi unafanana na wa jamaa Fulani aliyetongoza demu udsm alikua anasoma masters anavyodai nae story ikawa hivo hivo akipita na manzi kumbe amewaka kama wewe yaonesha hizi story ni imagination
 
Usiwe na wasi
 
Kama uliinjoyi hamna noma mkuu. Bahati mbaya ukutane na mwenye maziwa kama chapati,af kama yamenyonyesha magaidi,kule Lumambo ndo ukute hamna kitu,af ndo ukute mistari 2 hiyo! Bora ujinyonge. Ila kama yuko,vizuri,dunda nae mwanzo mwisho
 
Upate ukimwi utakufa na usipopata ukimwi utakufa.

Furahia maisha haya maana muda ni mfupi mno.

Aliyeogopa kupanda gari akihofia ajari basi alikufa kwa kutekeza chooni.

Acheni uoga, piga Tena hiyo mashine mpaka ikuite mume
 
Haya mawili ndiyo ya Muhimu sana, mengine kutishana tu na kiuhalisia HIV siyo death certificate ni basi tu mapokeo yetu Africa yalikuwa ya kutishana tishana tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…