Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Makonda ana nini lakini?.Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
Naona wanachadema mmechaganyikiwa na kuvurugwa akili zenu kabisa.Upunguani wa Makonda ni kama ngozi, yaani hasikii kabisa ushauri wa watu?
Ungekuwa umewahi kuwa hata "typist" halmashauri, wilayani au mkoani, usingeandika hayo uliyoyaandika.Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini nyie upande wa pili???
Kwamba hao watu wamelazimishwa??
Wewe unaweza kulazimishwa kufana jambo usilopenda?.
Acha ujinga mtoa post kuwa na akili japo kidogo basi pia punguza wivu wa kike au achana nao kabisa.
Acha uchawi wa hadharani wewe goroka,kila mmoja ana mbinu zake za kimedani,Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
Hiyo jamaa anaenda kuharibu maisha ya huko Arusha. Jamaa ni mchawi sana, sijui kwanini mama anashindwa kuona kwamba Bashite anamwaribiaEti Makonda ana nini lakini?.
Unachojiuliza hata Samia anajiuliza hicho hicho.
Subiri uone miundo mbinu unavyofumuka Arusha. Arusha sasa kuipiku Dat kwa Umaarufu.
Pengine ana Siri nzito anatembea nayo !!Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
Makonda Ali kuwa mkono wa kuume wa, Maghu katika kufanya political assassination, intimidation, elimination, mtu aliyeshiriki kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji ya kiongozi wa upinzani,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wanamuona JPM ndani ya Makonda !!😅😅. 🙏Makonda anakarisma ya kupendwa.
Nilipita jana karibu na jengo la CCM nikakuta vikundi vya vijana wa CCM na wakina mama nikauliza kuna nini wakasema wanamsubiri Mwenezi mpya wa CCM. Nikauliza Kwa makada flani wakaniambia alipokuja Makonda kulikuwa na mafuriko ya watu walijaa hadi Gandhi Hall na wengine karibu na kituo cha polisi.
Wakasema mpya hana influence.
Tumuache tu huyu jamaa amalize zamu yake kwa namna yake na yeye.
Duh 🙄 !!Makonda Ali kuwa mkono wa kuume wa, Maghu katika kufanya political assassination, intimidation, elimination, mtu aliyeshiriki kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji ya kiongozi wa upinzani,
Intelligence, and law enforcement community, wanalijua hili, na wanakuwa na woga jinsi ya just deal na makonda,
Na ukitegemea majitu mengi ndani ya chama na serikalini,ni machawa, hayapo pale by merit(ujuzi nk), yapo kupitia, uchawa, na kujipemdekeza, sasa, akitokea chawa mkubwa wa Rais, lazima, watamuogopa!
Hata ningekuwa mimi ndio makonda, ningeyakimbiza machawa yote yaliyopo chini yangu, kuanzia wakuu wa wilaya, kata, mpakq RPC, kwa, polisi ningehakikisha na mimi napata mgao wa zile pesa wanazokusanya kwenye faini za madereva!
Mdogo wangu makonda, hao chawa wenzio wa ccm kimbiza, kimbiza, washike makalio, shika matiti ya wake zao, wataishia kulia Lia kimya kimya, hakuna, wakuondoka, na, watakusifu zaidi.
Iko vile bandugu !Aliagiza watu waende kumpokea? Muache kijana achape kazi, angalau tuendelee kumkumbuka JPM.
Wewe pia usingeacha shughuli zako kuja kumfungulia uzi kifupi makonda ni maji!Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.