Ningekuwa Rais Samia, leo ningemtumbua Makonda akiwa uwanja wa KIA kabla hajakanyaga ardhi ya Arusha

Utazania yeye ndio huwafata watu nyumbani.

Yaani wivu wa kiwango cha rami
 
Hiyo jamaa anaenda kuharibu maisha ya huko Arusha. Jamaa ni mchawi sana, sijui kwanini mama anashindwa kuona kwamba Bashite anamwaribia
Hadi mchana huu kamuharibia wapi? Una laumu tu.
 
Huo ni utaratibu wa kawaida. Hivi nyie majizi huwa mnalewa Kitimoto na pombe gani vile?
 
Wivu wa kike ...Una uhakika watu wamelazimishwa ama ndo wivu wa kike tu
Hamna cha wivu wala nini ukweli ni kwamba vitu vinavyofanywa na huyu kijana ni vya hovyo na kishambaaa.

Yeye na Mtaka nani anafanya kazi vizuri? Umewahi ona wapi Mtaka au wakuu wa mikoa wengine wanafanya huo ujinga?

Ndo maana nchi inabaki masikini na kuwa ya hovyo hii
 
Jamaaa nyota imewaka ngoja tusubiri hadi mwisho tuone
 
Mi naona hana kosa ila nyie ndo mnamfatilia sana mfano mimi nilikua sijui kama leo ndo anaenda kukabidhiwa ofisi Arusha wewe ndo umenipa taarifa ngoja nimfatilie sasa kuona ni nini kafanya hadi unalalamika
 
Naunga mkono hoja ,what is special for him?

Anyway nadhani ni njia nzuri ya kujichimbia kaburi,muda utaamua vizuri akizingua tuu kwenye utendaji kazi itakuwa mda mzuri wa kula kichwa maana anajifanya yeye ni Spesho saaana.
 
MAKONDA ni KIHIYO MSHAMBA wa MADARAKA
 
Hiyo jamaa anaenda kuharibu maisha ya huko Arusha. Jamaa ni mchawi sana, sijui kwanini mama anashindwa kuona kwamba Bashite anamwaribia
Utakufa nawivu na chuki zako binafsi.Mwamba Makonda ni mchapa kazi aliye tukuka na kipenzi cha watanzania
 
Wew una wivu sana. Naona unapambana na charisma. Unapata taabu sana.

Iambie pia mitandao ya kijamii, wananchi, vyombo vya habari viache kuripoti kuhusu Makonda. Huoni yeye ndiyo ka cover page nyingi kila kona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…