[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakiwa ndani inabidi atumie mbinu zoteSijaona ishu za kuifinyia kwa ndani hapo.
Unataka kuniambia wote walioolewa walifanya uliyoyaandika[emoji23]Ni sawa na kumsubiri mwana wa Mungu atakaporudi
Labdo uko miaka 40 waoaji hamna, utafanyaje?Ndoa za kulazimisha hizi mwisho mwake huwa majanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni wako ni wako tuu na atakuoa, ukiona hapaeleweki unaanzisha tu, waoaji wapo wengi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuwasubiri waje watoe ushuhudaUnataka kuniambia wote walioolewa walifanya uliyoyaandika[emoji23]
Kina nanihuwa unawapimia?
Tunataka tuje kwenye harusiUnaumwa weweπ€£π€£
Kumbe harusi. Nilidhani ndoaTunataka tuje kwenye harusi
Hutaki ndoa weweHiyo pesa yakumtoa Bora Nika betπ
mrKina nani
Sawa, hiyo hiyo ndoaKumbe harusi. Nilidhani ndoa
Mzee wa miongozo Smart911 hajapita kweli humu!πππ
Hayanaga muongozo
Why nipimeπππ natoa yote