Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata yule alikuzingua jana hujamfikiria bado Chalii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakiwa ndani inabidi atumie mbinu zoteSijaona ishu za kuifinyia kwa ndani hapo.
Unataka kuniambia wote walioolewa walifanya uliyoyaandika[emoji23]Ni sawa na kumsubiri mwana wa Mungu atakaporudi
Labdo uko miaka 40 waoaji hamna, utafanyaje?Ndoa za kulazimisha hizi mwisho mwake huwa majanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni wako ni wako tuu na atakuoa, ukiona hapaeleweki unaanzisha tu, waoaji wapo wengi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuwasubiri waje watoe ushuhudaUnataka kuniambia wote walioolewa walifanya uliyoyaandika[emoji23]
Kina nanihuwa unawapimia?
Tunataka tuje kwenye harusiUnaumwa wewe🤣🤣
Kumbe harusi. Nilidhani ndoaTunataka tuje kwenye harusi
Hutaki ndoa weweHiyo pesa yakumtoa Bora Nika bet😅
mrKina nani
Sawa, hiyo hiyo ndoaKumbe harusi. Nilidhani ndoa
Mzee wa miongozo Smart911 hajapita kweli humu!😂😂😂
Hayanaga muongozo
Why nipime😀😀😀 natoa yote