Wewe ndio unatakiwa ujibu hayo maswali , Kwanini unalalamikie kitu ambacho hujui kimefanyika kwasabu gani...nimekuuliza umesha sikia chochote kutoa kwa NSSF wakieleza hiki, nime assume haujasikia ndio nakuuluza Kwanini unalalamikie .Nilipo bold unaniuliza halafu unajijibu mwenyewe sikuelewi.
Any way embu uweke hapa huo ufafanuzi wa NSSF Kwa nini wamedhamini hiyo
Watu wanajadili haya mauzauza waliyofanya...Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Siku nenda kigamboniWadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Hiyo ni kanuni mzee sio kwamba Nandy na Billnas ndo wamewaachisha kazi au wamezuia hayo mafao. Lilaumu bunge lilitunga hiyo sheria na sio hao wanandoaNaona una tatizo, Kuna watu wameacha/achishwa kazi wameambiwa wangoje hadi wafikishe 55 yrs ndo wapewe mafao Yao halafu NSSF anatumbua pesa zao kwenye harusi halafu unashabikia ujinga?
Una assume, blindly and naively, kwamba Samia mambo haya hapendi.Mama SAMIA, Bado anaweza akaangalia upya.
Kama
ni kweli Mama Samia wajibisha kurugenzi ya masoko ya nssf.
Huu ni upuuzi. Tukio la siku moja ambalo halina impact yoyote kwa mnufaika wa mafao haliwezi kukuharibia jina la serikali yako.
Ni kawaida yao, atakulipua na yeye ajilipue akawahi bikira zake 72 akhera [emoji23][emoji23][emoji23]Usipende kupanic kwa mambo ambayo hayana impact kwenye maisha yako hio ni comment ya mtu lakin naamin kama una pressure itakua imepanda hii ni jukwaa huru na ni uwanja wa fujo mambo mengine unayapotezea life is too. short
Una assume, blindly and naively, kwamba Samia mambo haya hapendi.
Samia anaekwenda kwenye vi birthday vya kina Sugu, anamtibu Pro Jay kwa hela yetu, ataonaje kuna tatizo kwenye bullcrap kama hizi ?
Samia anatamani angekuwepo harusini.
...Sijaelewa Mkuu, una maana NSSSF ya Akiba ya Wazee? Leo wanadhamini Harusi ya Wanamuziki? Wapi na Wapi???Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
...Wewe ni Mstaafu? Wana Haki? Kudhamini Ndo Mtu kunahusiana Nini na Akiba ya Wastaafu'???Acha kukariri , NSSF wana haki ya kutangaza taasisi yao popote, bila kuvunja katiba ya nchi
Ukumbi tu 10milHizo pesa za NSSF zinatafutiwa namna ya kupigwa, harusi ya milioni 30 hapo utasikia imeenda milioni 300. Halafu, what does NSSF stand to gain from this?
...Wao wenyewe ni Wanachama wa hiyo Mifuko ?? Tuanzie Hapo kwanza...Hii nand na nass wameamua kufanya biashara na wataingiza pesa nyingi kutokana na hili hawa ni celebrity so wana impact kubwa Sana Kwa jamii. Ndugu mwwnachama tafadhal Kuwa mpole
Kila taasisi ina bajeti kwa ajili ya mambo yake ya kitaasisi, hata hili la Nandy sio suala la ajabu, bajeti ina fanya kazi, alie leta mvurugano ni JPM hivyo nssf wako salama, Rais akiamua kuzuia pesa unataka wao wafanyaje?...Wewe ni Mstaafu? Wana Haki? Kudhamini Ndo Mtu kunahusiana Nini na Akiba ya Wastaafu'???
Kwenye sherehe hawawezi kuweka tangazo mkuu, lakini ipo hivi wameanza kwa kwenda kununua nyumba ili wakaishi huko hawa wanandoa na waandishi wa habari wakawepo na ikatangazwa kwenye taarifa ya habari ya usiku katika vyombo vyote vya habari, hili ni TANGAZO moja wapo.Samahami sijafatilia hiyo sherehe, naomba nifahamishe .
Kwenye hiyo sherehe kuna tangazo la NSSF kuwa wanauza nyumba lilitangazwa?
Ili kujuatfy point yako.
Umenena sawa mkuu, hao wivu na umasikini vinawasumbuaWadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................