Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
Hapa waondoe wale Nyumbu wa kijani. Wanakubaligi Kila kitu, waondoe pia wabunge (ambao pia wamekua wajinga).
 
huyu mama angejua watz wengi wanamuombea mabaya angekaa atuliee asubili 2025 asepe kwa amani
 
Mliipa wenyewe kura CCM, subirini dawa iwaingie...
 
Mi naisi alijua tunampenda kwa mema mengi anayotutendea kumbe tuko nae tofauti na ilikua tunamtaftia point tumzoofishe. Anapaswa kubadilika atende atakalo analoona ni sawa. Sisi atujui tulitakalo, Wala atuna sababu ya kupenda au kutopenda.
Mama aendelee na kazi tu
 
Kisa alichaguliwa na katiba ndo afanye awezavyo? Hakuchaguliwa na raia yeyote uenda ndo sababu.
 
Na je kama alisaini bila kuwaonyesha huo mkataba
 
mambo yamekua magumu kwake pole sana hii kitu mtu huwa anapitia milima na mabonde
 
Wewe utakuwa li CHADEMA au Sukuma gang! Ulikuwa umeanza vizuri lakini ulivyohitimisha na shinikizo kwa Rais kuhusu Katiba mpya nimekupuuza!
Mtu yeyote asiyeona kwamba katiba yetu ni mbovu mno na ndio inayoruhusu mikataba mibovu huyo mtu ni punguani.
 
Watanzania ni wasahaulifu na wengi ni mbumbumbu...ukipita upepo wa simba na yanga msimu mpya watakuwa wameshasahau madhaifu yake yote na kumshangilia mikutanoni kama mkombozi wao
 
Anayehesabu kura ndio anaamua mshindi.
 
Hakuna lolote Dr Samiah yupo cool, na amesha vaa ngozi ngumu, with no stress!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…