Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

Nakubaliana na ww [emoji817].... Wanaendekeza kula kula ,hovyo + kutumia midawa tofaut tofaut eti kuutunza uke .... Yan ni balaa ...ukikutana na anayetoa harufu mzuka wote unaisha
 
[emoji817][emoji109] Hawa wanaojifanya wajanja wa mjini ...
 
Wanywe maji mengi, na mara nyingine wamix na limao
 
Kongole kwako,umeeleza vyema niliwahi kuangalia kipindi cha afya siku ya jumanne Startv daktari alieleza hayo uliyoyaandika.

Na kuna kuna wimbi kubwa na madaktari feki huko instagram wanawapiga sana hela wanawake wenye matatizo hayo. Kitu cha muhimu dokta alichosema mwanamke hatakiwi aingize kitu chochote ukeni au atumie makemikali au sabuni zenye kemikali kali kusafisha uke kwasababu ngozi ya uke ni laini sana huathirika na hizo kemikali na hizo sabuni zinatumika kuoshea ngozi ya nje ambayo ni ngumu. Hivyo inaweza kufanyika hivyo kwa ushauri wa daktari maana kuna dawa zingine mwanamke huelekezwa na daktari kuzidumbukiza ukeni.

Alisisitiza kuwa uke unajisafisha wenyewe na kama mwanamke akiona hizo harufu na mengineyo awahi kituo cha afya akapatiwe matibabu sahihi.

Maoni yangu haya madawa ya kupanga uzazi nayo yamechangia sana baadhi ya wanawake kuwa na matatizo haya maana wengine baada ya kutumia hizo njia za uzazi wa mpango uke huwa mkavu hivyo huamua kutumia makemikali kuulainisha hapo balaa ndiyo linapoanzia.

Naomba niishie hapa,wasalam.
 
safi sana mkuu!
 
Mwanamke kaumbiwa mwanamme mmoja tu sasa mwanamke leo unatembea na huyu kaacha shahawa zake kesho umetembea na yule.wenyewe wanaita kudanga sasa kwann sehemu ya siri isinuke KWA halo hiyo????
aisee, inasikitisha sana!
 
Mleta mada alihitimisha kwa kusema kuwa kwenye huu uzi tutajifunza kitu,kumbe alikuwa sahihi.Nimejifunza kitu hapa.Shukrani mkuu!
nililiona hilo kabla mkuu, nikitumia zaidi uzoefu wa michango ya mada mbali mbali zitupiwazo humu kila leo. jf ni pana sana mkuu.....abarikiwe muasisi, wabarikiwe members!
 
Hauko sahihi 100%. Harufu mbaya inayotoka ukeni ni magonjwa,kwani uke hujisafisha wennyewe na hauna harufu.ukiona harufu hata kidogo ujue bacteria(uchafu).


Uke uliosafi,hautoi harufi.

NB: experience zipo ila cwez leta ushahd
sure!
 
Aisee kuna kipindi nilikutana na K moja inatoa harufu balaaa daah ilinibidi nihairishe tu gem njian baada ya kupata kimoko cha mazila na mateso ya harufu mbaya
 
ahsante sana kwa somo na ushauri maridhawa kabisa!

ila hapo uliponiita 'mvulana' umenikosea kwakweli.....ni wa muda sana mimi. hata uletaji wangu wa huu uzi ulisababishwa na utofauti ninaouna sasa nikilinganisha na kipindi kile cha miaka ya 90. ila nimejifariji kwamba huenda umemaanisha 'nisiye na maarifa' katika mada husika, na hilo ni kweli sababu hata bios niliishia kuisoma kidato cha pili tu sababu kwa muda huo halikuwa somo la lazima!
 
Aisee kuna kipindi nilikutana na K moja inatoa harufu balaaa daah ilinibidi nihairishe tu gem njian baada ya kupata kimoko cha mazila na mateso ya harufu mbaya
dah, hatari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…