Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

ahsante sana kwa somo na ushauri maridhawa kabisa!

ila hapo uliponiita 'mvulana' umenikosea kwakweli.....ni wa muda sana mimi. hata uletaji wangu wa huu uzi ulisababishwa na utofauti ninaouna sasa nikilinganisha na kipindi kile cha miaka ya 90. ila nimejifariji kwamba huenda umemaanisha 'nisiye na maarifa' katika mada husika, na hilo ni kweli sababu hata bios niliishia kuisoma kidato cha pili tu sababu kwa muda huo halikuwa somo la lazima!
Kumradhi kwa neno hilo mkuu, japo nilimaanisha nilichokisema, mimi hudhani ni wasichana wadogo tu na wavulana ndio hawaelewi haya mambo, nimekutaka radhi ndugu.

Kama zamani hakukuwa na hizo shida basi ujue matumizi ya pills yaliyoletwa na usasa huchangia kwa kiasi kikubwa.
 
Kumradhi kwa neno hilo mkuu, japo nilimaanisha nilichokisema, mimi hudhani ni wasichana wadogo tu na wavulana ndio hawaelewi haya mambo, nimekutaka radhi ndugu.

Kama zamani hakukuwa na hizo shida basi ujue matumizi ya pills yaliyoletwa na usasa huchangia kwa kiasi kikubwa.
haina shida!
basi na wakubwa, pengine wachache sana, tupo tusioelewa vizuri. ushahidi wetu wa ukubwa ni pale tunapojaribu kwenda ndani zaidi ili kulielewa jambo 'in and out'. mara nyingi wadogo hawajishughulishi na 'whys' au 'hows'! radhi imepokelewa kiongozi, limekwisha hilo; najua na najua unajua kuwa 'we are not that serious' katika hili.

nakubaliana na hiyo hoja ya usasa na pills, ni hatari sana. na tatizo zaidi ni kuwa huwaambii kitu hawa kina dada na huu usasa wao!!
 
Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!

Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.

Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!

Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!

Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
mabadiliko ya tabia nchi!😂😂😂
 
Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!

Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.

Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!

Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!

Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
Wanatakiwa wakikutana vicoba washauriane njia za kusafisha Papuchi zisitoe.... Kali
 
Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!

Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.

Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!

Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!

Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
Ila kwenye mabadiliko ya tabia ya nchi khaaaaaa😂😁😁
 
Mkuu ishawai nitokea...ilikuwa gegrdo langu la kwanza tangu nibarehe... nilikutana na harufu kali...mpaka mashine ililala ghafla....mpaka leo ni zaidi ya miaka mitano,,,nawachukia wanawake nahisi wote wananuka papuchi....Kiukweli imeniathiri kisaiklojia,,,na sijui kama nitakuja kuoa...
 
Ni wakati sasa hili somo lipelekwe mashuleni form four huko au form 3, kwanini wanafunzi wasifundishwe hata kijuu juu tu juu ya afya ya uke? Wavulana na wasichana wadogo wanasumbuka sana juu ya hili, na wengi hawaelewi “what is normal na what is abnormal in a vagina”.

Kwa ujumla ewe mvulana mleta mada nikusaidie, harufu mbaya ukeni husababishwa na magonjwa ya uke ambayo mwanamke yeyote ambaye yuko sexually active hupata walau mara 1 au mbili kwa mwaka na usipokuwa makini yanakuwa ni magonjwa yako ya mara kwa mara, magonjwa hayo ni pamoja Bacterial vagnosis (BV) na Trichomoniasis, Magonjwa mengine ni gono na kaswende. (Gono na kaswende sio common kwa sasa)

Mambo mengine yanayosababisha harufu au shombo fulani lisilokuwa la kawaida ukeni, mimi haya huyaita HALI na si MAGONJWA. Mfano hali ya kuharibika kwa PH ya uke kwa sababu mbalimbali kama vile stress, Shahawa (ndio shahawa huharibu (throw away) PH ya uke, pia; kujisafisha kwa sabuni au kemikali, kujifukiza na uturi au kupaka marashi etc. haya pia husababisha harufu natural ya huko kuharibika sababu ya kupungua au kuzidi kwa bakteria walinzi wa sehemu husika hali inayosababisha ekolojia ya uke kuharibika (PH), hapa naomba nieleweke kuwa hizi nilizoziita HALI ukiziendekeza hupelekea maambukizi ya BV.

Jambo lingine ni matumizi ya dawa za kuzuia mimba, hizi hazileti magonjwa lakini mara nyingi side effects zake ni kuharibu homoni, ambapo kuharibika kwa homoni huhusishwa moja kwa moja na kuathirika kwa PH, tunarudi kule kule paragraph ya pili.

Jambo la mwisho ni kutoa mimba kienyeji na kutokusafishwa/kutokusafishwa kwa usahihi.

NB1: Kule juu sijaitaja Fungus/yeast infection sababu hii haisababishi harufu, tuache kumix mambo, yeast infection husabaisha miwasho, hubadili utoko kuwa mzito kama mafungu mafungu, hubadili rangi ya utoko (discharge) etc Dalili za magonjwa ya uke huwa zinaendana jua una dalili gani ili Dr afahamu anakutibu nini, nasema hivi sababu kwenye hospital zetu za wanyonge hizi mara nyingi hata Dr hafanyi vipimo, wanatumia uzoefu, ukichanganya dalili inakula kwako.

NB2: Magonjwa yote hutibika hospital, mgonjwa awahi hospital aonapo dalili kama , kuwashwa, ngozi ya uke kuwa nyekundu na nyepesi, kupata utoko wa rangi ya maziwa iliyokoza, njano, mawingu au ukijani. Jambo hili si la aibu kinachomtofautisha mwanamke asiye na harufu mbaya na mwenye harufu mbaya ni hali ya kujitambua, wengine wanajitambua haraka wakiona kitu hakiko sawa hivyo kutafuta matibabu haraka sana, na wengine ndio hao hawatambui chochote wanaishia kuishi na hayo magonjwa na wengine hudhani ni hali ya kawaida kuwa na harufu mbaya, tuwafunze mabinti wadogo kwa upendo kuwa si sahihi kunuka chochote katika mwili, tuwaelekeze na si kuwabully, hii ni pamoja na harufu mbaya za kwapa, kinywa na vinginevyo, kabla ya kuwasisitiza usafi tuwasisitize matibabu. Mwili wa mwanadamu ambaye ni mzima/hajafariki hautakiwi kunuka
Unakuta unamwambia kuwa umegundua ana hilo tatizo anakumind tena anaona unamsema vibaya....... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ishawai nitokea...ilikuwa gegrdo langu la kwanza tangu nibarehe... nilikutana na harufu kali...mpaka mashine ililala ghafla....mpaka leo ni zaidi ya miaka mitano,,,nawachukia wanawake nahisi wote wananuka papuchi....Kiukweli imeniathiri kisaiklojia,,,na sijui kama nitakuja kuoa...
😂😂😂😂😂😂
hiyo ilikuwa kali sana inaonekana, mpaka unataka kususa kuoa kabisa!!!!!
 
Labda wanakuwa wametumika sana ( over used)!

Kina Mama huruma !

Kuna watu wametekewa na nguvu za Giza kwenye ngono.

Hapa hata wanaume pia wapo!

Yani mtu yuko tayari wakati wowote kungonoka na mtu yeyote bila kujali nafsi yake.

Akili yake ni ngono tu.

Kuna watu wamejikataa kabisa nafsi zao.

Wako tayari kwa lolote na hawana cha kupoteza !

Watu hao ni hatari sana!

Ubaya sasa wakianza kuugua wanaopata tabu ya kuuguza ni ndugu zao.

Mchumajanga hula na wakwao.
 
😂😂😂😂😂😂
hiyo ilikuwa kali sana inaonekana, mpaka unataka kususa kuoa kabisa!!!!!
wazazi wananiuliza nitao lini...mi naishia kukwepa kuwajibu...mpaka wanahisi sio mwanaume kamili,,,mpaka wadogo zangu washaoa mimi bado,,,nikikumbuka ile harufu nachukia ghafla
 
wazazi wananiuliza nitao lini...mi naishia kukwepa kuwajibu...mpaka wanahisi sio mwanaume kamili,,,mpaka wadogo zangu washaoa mimi bado,,,nikikumbuka ile harufu nachukia ghafla
hahahahaha vaaga maski hua inasaidia wallahi
 
Wazungu wao wanatumia vitu kama vagisil kusafisha hayo maeneo. Wadada Tz hawatumii. Na hawajui ni muhimu kufanya hivyo. Search google VAGISIL Ili kuijua ni nini. Ni kama sabuni za maji maalum kwa kusafishia hizo sehemu
The active ingredients in Vagisil are Benzocaine (5%), a local anesthetic which reduces the itching, and Resorcinol (2%), an antiseptic which treats the skin irritation.
In February, 2021, Vagisil launched new products labelled OMV! which are scented wipes, cleansers and anti itch creams for vaginas and vulvas.
The marketing was directed at teenagers, which resulted in criticism on social media by doctors. Some of them expressed worry that the advertising campaign will make teens ashamed of their vaginas and that the treatment will cause issues such as irritation and allergic reaction. They worry that the teens may not seek medical advice for real issues, such as YEAST infections that SHOULD NOT be treated with Vagisil.
Others agree that the vagina should be left alone and does not need special cleaners or refreshing, which I personally agree too. Vagisil responded to this criticism by explaining that their products have an appropriate pH level for external use in the vulva area and have been tested by independent dermatologists and gynecologists.
A spokesperson for Vagisil stated that their products are not for everyone and that they created OMV! in response to active young woman who have expressed "...worry about period hygiene and odours". The doctors countered by stating that, "menstruation is natural and vaginas are not supposed to smell like the OMV scents, roses or vanilla.

NB;Apply at your own risk!
 
Back
Top Bottom