Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Binafsi sio mfuasi wa CCM ila napenda harakati za vyama vya upinzani

Ila hapa karibuni naona kama CHADEMA wanaleta siasa za kitoto na mbaya zaidi uelewa wa watanzania baadhi umekua sio kama zamani

Hivi kulikua na haja gani kulazimisha kwenda kutoa misaada yao siku ambayo raisi wa nchi anakwenda

Hivi hawakuona kama kumshushia heshima na hadhi yake raisi maana ilikua siku yake rasmi ya kwenda kuona madhara na kutoa misaada mikubwa ikiwemo kuwajengea makazi

Hivi wangechagua siku nyingine baada au kabla ya raisi kufika wangepungukiwa nini!?

Kwa hili CHADEMA mmeferi mjirekebishe hizi ni siasa za kitoto kwenye mambo ya msingi

HIVI MSAADA WA RAISI WA NCHI NA WA CHADEMA VINAWEZA KUFANANA KWELI!?

MJITAFAKARI CHADEMA MAMBO MADOGO KAMA HAYA YANAWASHUSHIA HESHIMA YENU BADO MNAISHI KWA SERA NA HARAKATI ZA KIZAMANI
Akili zako ni za kitoto, Hanang ni eneo kubwa sana mfano ukitoa msaada Bunju na kumzuia anayetaka kutoa msaada Mwandege utakua na udhaifu wa kufikiri, misaada si mashindano ya vyama.
CCM kutokana na udhaifu wake wa kutojiamini imekua na tabia mbaya ya kuhodhi misaada na kuifanya ionekane wao ndio wameitoa kwa kuweka bendera zao, bado tunakumbuka upigaji mlioufanya kuhusu pesa za wanafunzi waliopata ajali Arusha kwa kuzipiga na pesa za tetemeko Bukoba ambako nako zilipigwa.
 
Viongozi wa Chadema Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chao , Mwamba wa siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, Laingwanan, Mtemi Isike ama Ustaadh Aboubakar Mbowe , baada ya Vuta Nikuvute, hatimaye wamefanikiwa kukagua uharibifu uliosababishwa na maporomoko ya udongo .

Katika Msafara huo uliokuwa ukishangiliwa na Wananchi kote ulikofanya Ukaguzi umepita kata za Katesh , Ganana na Jorodon

Katika kuhitimisha Ukaguzi, chama hicho kimekiri kuona Uharibifu Mkubwa uliotokea , kimetoa pole kwa Wahanga wote na kinatarajiwa kutoa Mwongozo .

View attachment 2836039View attachment 2836040View attachment 2836041View attachment 2836043View attachment 2836044View attachment 2836046View attachment 2836049View attachment 2836052View attachment 2836053
Hawa ndio viongozi wa kweli nchi hii.
 
Miamala inayotoka kwa wanachama,sijui hata kama wamefikisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kwahy unamaanisha Mh Mbowe gwiji la siasa za kistaarabu Tanzania ni tapeli 😂 hapana bhana mbona jamaa sio mhuni kiasi hicho,
Au unataka kusema kuna mifuko ya cement imepelekwa uchagani kuongeza ukubwa wa hekalu la mheshimiwa huku vijana wake akina Erythrocyte wakifia chama wakiwa afya duni wakiishi kwenye mabati huku wakijipatia chakula chao yakimwagika chini ya meza ya Bwana mkubwa wao Mbowe 😂
 
Watanzania tujifunze kuwa na Solidality bila kujali vyama pale ambapo kumetokea Majanga, Maafa, nk
Tanzania kwanza Vyama baadaye!
Kwa hiyo Watanzania wote tuungane na Mheshimiwa Rais Dr.Samia Suhuhu kuona namna gani Serikali inaweza kuwasaidia wananchi wenzetu wa Manyara!
Hongera CDM kwa kuonyesha Solidality!
Nchi hii ina upumbavu mwingi sana! Sasa walikuwa wanawazuia wa kazi gani? Kuwapa mileage tu ya kisiasa! Sasa unaona wananchi wanawashangilia utafikri wao ndio wamekuja kuwakomboa! Polisi waache ujinga!
 
Hakuna lolote hapa. Zaidi ya harakati za kudandia matukio
1000005795.jpg
 
Binafsi sio mfuasi wa CCM ila napenda harakati za vyama vya upinzani

Ila hapa karibuni naona kama CHADEMA wanaleta siasa za kitoto na mbaya zaidi uelewa wa watanzania baadhi umekua sio kama zamani

Hivi kulikua na haja gani kulazimisha kwenda kutoa misaada yao siku ambayo raisi wa nchi anakwenda

Hivi hawakuona kama kumshushia heshima na hadhi yake raisi maana ilikua siku yake rasmi ya kwenda kuona madhara na kutoa misaada mikubwa ikiwemo kuwajengea makazi

Hivi wangechagua siku nyingine baada au kabla ya raisi kufika wangepungukiwa nini!?

Kwa hili CHADEMA mmeferi mjirekebishe hizi ni siasa za kitoto kwenye mambo ya msingi

HIVI MSAADA WA RAISI WA NCHI NA WA CHADEMA VINAWEZA KUFANANA KWELI!?

MJITAFAKARI CHADEMA MAMBO MADOGO KAMA HAYA YANAWASHUSHIA HESHIMA YENU BADO MNAISHI KWA SERA NA HARAKATI ZA KIZAMANI
Screenshot_2023-12-07-22-17-17-1.png
 
Hapo usishangae Makonda kesho akaenda, labda wakosekane punda wa yeye kupanda. Hakuna kitu kinaleta wivu kama ulazimishe kupendwa kisha hupendwi, na mwingine automatically anakubalika tu.
Kama kukubalika muda huu ndani ya miaka 21 mngekuwa mmeshika dola!
 
Division 0 ya Form 6 ikiwa kazini, haya ndio matokeo yake, watu wamepata maafa makubwa, badala ya kutoa msaada walau hata kidogo, unaenda kutafuta political mileage na mipicha, magwanda kwenye misiba, ukikosa elimu bora au ukifeli shule hadi div 0 madhara yake makubwa sana kwa wafuasi wanao kufuata bila hata kujua unaenda wapi

NB: Kuwa na fedha haiondoi wewe kuwa ulifeli elimu na kupata div 0: Div 0 iko pale pale na madhara yake ndio haya hadi wafuasi wa div 0 kokote kule iwe mitaani au mitandaoni ni hopeless sana tunaona.
Mkuu umeongea pumba tu msukuma Ni darasa la 7 Tena la kuunga unga lakini bungeni anatoaga pont zaidi hata ya wenye phd zao.
 
Muonekano wako kwenye picha unaoneka umekata taamaa Kabisa. Mwili wako ni Mkubwa ila unaonekana dhaifu. Punguza msongo wa mawazo, kubali hali halisi ya maisha ya Sasa unayoishi. A is A, Not A is not A
Mwili u dhaifu ila tatizo ni mimba ya Mbowe aliyobeba na atajifungua tuu
 
Back
Top Bottom