Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Kwani dar Kuna wanaume?Hatutaki pole zenu za kinafki ili hali mnawapondea waume zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani dar Kuna wanaume?Hatutaki pole zenu za kinafki ili hali mnawapondea waume zetu
Watakamatwa tu hao mbwa alafu wasiwe wanawaacha wawe wanawapo kiss of death.
Daah hapo ukute panya road amekukuta kwa mchepuko kakucharaza mapanga umepelekwa muhimbili na ulishaaga upo songea kikazi sijui utamwambia nini waifuWaume za watu aka michepuko ya watu[emoji23]
Hatufahamiani ni bora usinizungumzie kama unanifahamu.Unaandika hayo ukiwa nyuma ya keyboard alafu ukisikia nje kuna kelele zisizoeleweka ndio wa kwanza kujificha uvunguni mwa kitanda
Ndio haujawa na hautakua rais sasa kwa sababu una maamuzi ya kichoko, wewe unafikiri kua rais ni kufanyafanya tu vile unavyojisikia wewe?
Umetumwa wewe sio bure
Ukiwa humu JamiiForums jitahidi sana kuvumilia hata Baba yako au mjomba wako anapokosolewa. Hakuna haja ya kukasirika, Ofisi ya umma unajua siku ya kuingia lakini hujui siku ya kutoka.
Kabla hujaja kujadili humu na kujibu watu,nenda nyumbani ule uwe mtu mzima kidogo. Pole!
Wewe Akili zako zimeganda yaan Akili zako hazina Akili... Sorry for that ila maelezo yako yanajidhihirisha wazi wewe kichwani Akili hazimo
Lini kesi ya Sabaya inasomwa tuje kukushuhudia unavyojiliza kwa kwikwi?Hapana!
Nakumbuka jinsi alivyokuwa anaondoka na nyie wahuni kimyakimya huku nchi ikiendelea kuwa shwari kabisa
Wakiguswa panyaroad wanaharakati wataongeaViongozi wako kimya
Ova
Hili swali ni la kipuuzi sana.Huo mji hauna wanaume?
Ni huzuniHuo mji hauna wanaume?