Hakuna taarifa ya aina hiyo. Msipende kudanhanyana.Nenda website ya vatican wameweka habari yote. Ni habari ya kweli aliyoleta mtoa mada
BBC wame report wanachokipenda.Ni taarifa sahihi, ingia bbc swahili wameeleza vizuri kwa kiswahili.
Nenda website ya Vatican kasome Fiducia supplicans. Naona mapenzi yako kwa Catholicism yanakufanya uwe kwenye denial. Sasa hata askofu wangu wa Dar na maaskofu wa nchi zinazotuzunguka wameuelezea waraka wa papa, wewe bado unashikilia haupo. PoleHakuna taarifa ya aina hiyo. Msipende kudanhanyana.
Kinachowasumbueni ni either uwezo mdogo wa kuelewa au kiuhalisia mnapenda hayo mambo hivyo mnasherehekea
Siyo Tanzania au nchi nyingi za Afrika. Waende huko ulaya na Amerika walipozoea hayo mamboUamuzi mzuri sana huu, wapenzi wa jinsia Moja wana haki ya kupendana na kuishi kwa uhuru
Kanisa kahaba ni kanisa lako firauni mwenye mguu mmoja weweJe, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha...www.jamiiforums.com
TULIOFUNULIWA UKWELI KUHUSU HILI KANISA KAHABA TUMEWAAMBIA .
ASOMAYE NA AFAHAMU.
SINA DENI.
Mbona unaongea kama unato-mb-wa.TUMEWAAMBIA UKWELI WOTE
KUHUSU ILI KANISA SHIDA HUWA HAMUELEWI.
Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?
🥺🥺🥱Kanisa kahaba ni kanisa lako firauni mwenye mguu mmoja wewe
Hebu kaa kimya kama hufuatilii habari. USA kumechafuka watu hadi wanataka kujitengaWakatoliki Waafrika na Waarabu ndio mna shida na kauli ya Papa,huko kwingine wamemuelewa vizuri tu.
Tusifikie huko mkuu😢😢Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha...www.jamiiforums.com
TULIOFUNULIWA UKWELI KUHUSU HILI KANISA KAHABA TUMEWAAMBIA .
ASOMAYE NA AFAHAMU.
SINA DENI.
Pelekeaneni moto wanaume katoliki!Kuna mwandishi mmoja aliwahi kusema ukitaka kujua kwamba ushoga ni dhambi kuu dhidi ya kila kitu, yaan ni dhambi ya kijamii, kidini, kiasilia, etc... basi chukua couple 100 za mashoga uwaweke peke yao kwenye mji mmoja. Na kisha chukua couple 100 za kawaida uziweke kwenye mji mmoja. Baada ya miaka 100 utakuta kwenye mji wa mashoga kuna mafuvu tu na maiti lakini kwenye mji wa couple za kawaida utakuta kizazi kipya kimenawiri.
Hio inaonesha kwamba ushoga ni dhambi dhidi ya asili (nature), dhidi ya jamii (social sin) na dhidi ya maumbile (pole marinda ya wahusika)
Papa kakosea sana kwa kuhalalisha hii dhambi, wakatoliki wote tuungane kusema HAPANA juu ya hili. Vizazi vyetu haviwezi kuangamia kwa sababu ya tamko la mzee mmoja ambae hana hata watoto.
Nashauri jumapili ijayo wakatoliki twendeni maeneo ya kanisani lakini tusiingie kanisani bali yubebe mabango ya kuwashinikiza TEC watoe tamko la kupinga kauli ya papa, tukianza sisi wengine watafuata. Kenya, uganda, na afrika nzima itafuata.
🤣🤣🤣🤣🤣 unafikri watakuelewa vijana wa papa Francisushoga ni dhambi dhidi ya maumbile (pole marinda ya wahusika)
unaunga mkono komenti ya kipumbavu, walokole gani hao huko marekani? Ingekuwa hivyo hayo mashoga yangekuja afrika kuhamasisha ushoga kwenye makanisa yao ya kishoga. Nafuatilia wahubiri wa kilokole toka marekani nisikie wakihamasisha ndoa za jinsia moja sijasikia. Kama nyie papa wenu kachafua kanisa lenu msidhani na makanisa ya wenzenu yamechafuliwa hivyo.hamieni Lutherani na moravian bado wako safiSi kweli.