Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Neno la Mungu halijabadilika,

Yesu ndiye Neno, na hakuwahi kubadili Sabato, kukumbuka Uumbaji Kwa kuabudu siku ya Saba ya juma.
Si takwa kwa Wakristo kushika sabato ya kila juma. Wakristo wako chini ya “sheria ya Kristo,” ambayo haitii ndani kushika Sabato. (Wagalatia 6:2; Wakolosai 2:16, 17) Kwa nini tunasema hivyo kwa uhakika? Kwanza, fikiria chanzo cha Sabato
 
Sisi tumeshastuka,

Tunajitofautisha nao Kwa kurudisha IBADA Jumamosi kama Kanisa la kwanza.

Ninyi subirieni mtakapoletewa Padr shoga ndo mtajua.
Wewe seventh-day adventist mwenzangu jua kwamba hata kanisani mwako ushoga upo, kuna pastor amejitokeza na kusema yeye ni bisexual na conference wamemjadili na hawakufuta certificate yake.

Ushoga upo kweny kila dhehebu asaiv, kitakachoweza kukukomboa ni wewe tuu na imani yako na sio kuhamahama makanisa kila siku.

Pastor Saša Gunjević First Adventist Pastor to Maintain Credentials After Coming Out – Adventist Today
 
Siyo kidogo, ushoga upo kila kona ila tu Roma ndio wameidhinisha rasmi.
 
SHERIA ya kristo ni Ile Ile.
Kuna aliyebisha, Biblia haibadiliki na haitokaa kubadilika.

Rejea haa, ukishupaza shingo shauri yako....Si takwa kwa Wakristo kushika sabato ya kila juma. Wakristo wako chini ya “sheria ya Kristo,” ambayo haitii ndani kushika Sabato. (Wagalatia 6:2; Wakolosai 2:16, 17) Kwa nini tunasema hivyo kwa uhakika? Kwanza, fikiria chanzo cha Sabato
 
Sijajua why UK news Meadia Companies wanashambulia sana Wakatoliki huu mwaka 2023😁
 
Mimi Si msabato, wasabato Si wakristo.

Ni mkristo ambaye tumeamua kurudi kuifanya Siku kuu ya IBADA iwe Siku ya Saba ya juma kama ilivyokuwa Kanisa la kwanza.
 
Uamuzi mzuri sana kwa kanisa katoliki, hakuna sababu ya kuwabagua wapenzi wa jinsia moja.. ni haki Yao kupendana.
Mnalipwa hela nyingi sana ili kueneza huu ushetwani ila hamtaweza nakuhakikishia. Kapigeni promo huko huko ulipoanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…